Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Kutukana na kukashifu imani za wenzio inaonekana ni taaluma yako.We muza supu za miguu kanisani huko hupati kitu yote ni mashoga tu, vaa baibui uone Waislam kama hawajakuweka ndani utasahau hata kutoka kwenda tafuta soko. Rais wa Iran kasema watalipa yeye kaleta habari kutoka kwenye agano jipya la bibilia, au wale wapinzani wa Iran😄
![]()
Iran will ‘definitely’ retaliate against Israel for killing of Haniyeh, says new president
Masoud Pezeshkian vows a response for ‘crimes and insolence’ as US sends reinforcements to defend its allywww.ft.com
Anyway sitaki kufanana na wewe kwa kutukana kwa sababu nimejengwa kuheshimu watu regardless ya imani zao.
Kinachoongelewa hapa ni manufaa ya kisiasa na kiuchumi iwapo Iran atajiingiza katika hii vita.
Pamoja ya kuwa Iran ni waislamu wenzio,wao wamejaaliwa akili ya kufanya tathmini kwa manufaa ya taifa lao na si kama Hamas ambao mihemko ya kidini imewafikisha hapo walipo.
Nazidi kukupa mwanga kuwa matamanio ya dini yako kuifuta Israel katika mgongo wa dunia hayatakaa yatimie kwa sababu Muisrael aliahidiwa kwenye Jeremiah 30:1-3
3 The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”
4 These are the words the Lord spoke concerning Israel and Judah: