Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Usiwe na harakaKumbe magaidi Iran wanajua mziki wa myahudi
unachanganya Kuonya = kutahadharisha vs KuzuiaYaani mtu anawiki 2 serikalini anaweza kumuonya mtu mwenye over 10 years experience.
Hii story haipo sawa
Habari za kinafik tu hizi, hazina ukweli.Breaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani Rais amemuonya Kiongozi wake Mkuu kuwa shambulizi dhidi ya Israel laweza leta anguko kubwa la uchumi wa nchi hiyo na hivyo kupelekea kusambaratika kwa Dola hilo
Taarifa kamili hapo chini:
---
Report: Iran’s president Pezeshkian urges Khamenei to avoid attack on Israel
Iranian President Masoud Pezeshkian has implored the country’s supreme leader to avoid a direct attack on Israel, warning an escalation could lead Israel to devastate infrastructure and energy targets and cripple the economy, according to a report in Iran International.
The report, which cited anonymous sources with knowledge of the matter and which could not be independently confirmed, said Pezeshkian told Ali Khamenei that a war could deepen citizens’ discontent with the regime and even bring about Iran’s collapse.
The report says Khamenei was noncommittal at the meeting.
Hivi yule aliyekufa kwa ajali ya chopa alikuwa ni cheo kipi kati haoBreaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Haraka ya nini?!Usiwe na haraka
Fake news unakaa unatengeneza story zako za kijinga huko vichochoroni[emoji13]Breaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani Rais amemuonya Kiongozi wake Mkuu kuwa shambulizi dhidi ya Israel laweza leta anguko kubwa la uchumi wa nchi hiyo na hivyo kupelekea kusambaratika kwa Dola hilo
Taarifa kamili hapo chini:
---
Report: Iran’s president Pezeshkian urges Khamenei to avoid attack on Israel
Iranian President Masoud Pezeshkian has implored the country’s supreme leader to avoid a direct attack on Israel, warning an escalation could lead Israel to devastate infrastructure and energy targets and cripple the economy, according to a report in Iran International.
The report, which cited anonymous sources with knowledge of the matter and which could not be independently confirmed, said Pezeshkian told Ali Khamenei that a war could deepen citizens’ discontent with the regime and even bring about Iran’s collapse.
The report says Khamenei was noncommittal at the meeting.
Ukweli ni upi?Habari za kinafik tu hizi, hazina ukweli.
Fake news unakaa unatengeneza story zako za kijinga huko vichochoroni[emoji13]
Habari za kinafik tu hizi, hazina ukweli.
FT. Irani. O : 3 IsraelBreaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani Rais amemuonya Kiongozi wake Mkuu kuwa shambulizi dhidi ya Israel laweza leta anguko kubwa la uchumi wa nchi hiyo na hivyo kupelekea kusambaratika kwa Dola hilo
Taarifa kamili hapo chini:
---
Report: Iran’s president Pezeshkian urges Khamenei to avoid attack on Israel
Iranian President Masoud Pezeshkian has implored the country’s supreme leader to avoid a direct attack on Israel, warning an escalation could lead Israel to devastate infrastructure and energy targets and cripple the economy, according to a report in Iran International.
The report, which cited anonymous sources with knowledge of the matter and which could not be independently confirmed, said Pezeshkian told Ali Khamenei that a war could deepen citizens’ discontent with the regime and even bring about Iran’s collapse.
The report says Khamenei was noncommittal at the meeting.
Kwamba aliyekaa muda mrefu ndiye anayepaswa kufanya maamuzi, ila aliyekuja hivi karibuni hajui zaidi ya mkongwe na hastahili kuonya! Basi vyama vya upinzani havistahili kuishauri au kuionya serikali ya CCM maana vimeanzishwa baada ya CCMYaani mtu anawiki 2 serikalini anaweza kumuonya mtu mwenye over 10 years experience.
Hii story haipo sawa
soma ww ufafanye ili tulinganishe maelezoMnatuletea habari za fake afu we unajua kizungu kweli? Hebu rudia usome wameandika nini rudi shule
Ana wiki mbili una uhakika mzee.Yaani mtu anawiki 2 serikalini anaweza kumuonya mtu mwenye over 10 years experience.
Hii story haipo sawa
Niliwaambia hakuna vita hapa mkabisha,Kiko wapi Sasa 🤣🤣Breaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani Rais amemuonya Kiongozi wake Mkuu kuwa shambulizi dhidi ya Israel laweza leta anguko kubwa la uchumi wa nchi hiyo na hivyo kupelekea kusambaratika kwa Dola hilo
Taarifa kamili hapo chini:
---
Report: Iran’s president Pezeshkian urges Khamenei to avoid attack on Israel
Iranian President Masoud Pezeshkian has implored the country’s supreme leader to avoid a direct attack on Israel, warning an escalation could lead Israel to devastate infrastructure and energy targets and cripple the economy, according to a report in Iran International.
The report, which cited anonymous sources with knowledge of the matter and which could not be independently confirmed, said Pezeshkian told Ali Khamenei that a war could deepen citizens’ discontent with the regime and even bring about Iran’s collapse.
The report says Khamenei was noncommittal at the meeting.
Huo rais, amewaza mbalimbali,yeye ndo mtendaji ambaye anashinda kwenye public kufungua miradi mbalimbali lakini Ayatollah ulinzi wake ni mkali pia hauonekani ovyoovyo, Huyo rais ameshajitoa kwenye lawama,hata kama wanafake ili kuizugaa Israel tayari yeye kashajitoa kiaina ili Iran akirusha makombora na Israel wakilipiza kisasi asitafutwe yeyeKwamba aliyekaa muda mrefu ndiye anayepaswa kufanya maamuzi, ila aliyekuja hivi karibuni hajui zaidi ya mkongwe na hastahili kuonya! Basi vyama vya upinzani havistahili kuishauri au kuionya serikali ya CCM maana vimeanzishwa baada ya CCM