Tetesi: Rais wa Iran amuomba Ayatollah Khamenei kutokuishambulia Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litalopelekea kuanguka Dola hilo

Kutukana na kukashifu imani za wenzio inaonekana ni taaluma yako.
Anyway sitaki kufanana na wewe kwa kutukana kwa sababu nimejengwa kuheshimu watu regardless ya imani zao.
Kinachoongelewa hapa ni manufaa ya kisiasa na kiuchumi iwapo Iran atajiingiza katika hii vita.
Pamoja ya kuwa Iran ni waislamu wenzio,wao wamejaaliwa akili ya kufanya tathmini kwa manufaa ya taifa lao na si kama Hamas ambao mihemko ya kidini imewafikisha hapo walipo.
Nazidi kukupa mwanga kuwa matamanio ya dini yako kuifuta Israel katika mgongo wa dunia hayatakaa yatimie kwa sababu Muisrael aliahidiwa kwenye Jeremiah 30:1-3
3 The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”

4 These are the words the Lord spoke concerning Israel and Judah:
 
Assassination zinafanyika mara nyingi watu walishaua hadi raisi wa marekani, waziri mkuu wa israel, hicho siyo kigezo cha uimara wa jeshi as we speak hii vita na mgambo tu israel kaishiwa askari
askari hana wameuliwa na wengi majeruhi hapo anapigana na mgambo tu
 

Attachments

  • Screenshot_20240808-115407_Chrome.jpg
    316.2 KB · Views: 1


Naona umekuwa msemaji wa Raisi wa IRAN
 
Huu mgogoro umekuwa wa kusutana sana
 
Assassination zinafanyika mara nyingi watu walishaua hadi raisi wa marekani, waziri mkuu wa israel, hicho siyo kigezo cha uimara wa jeshi as we speak hii vita na mgambo tu israel kaishiwa askari
Historia inajieleza tangu mwaka 1948 Israel imekua ikishinda dhidi ya maadui zake.
 
Labda alimsihi Ayatollah kimsboy au Ayatollah Ritz
 
Mods mkiona habari nibya uongo kwenye jukwaa lolote lilee muifuteeee bila hivyo hii JF itakua shimo la taka taka kila habari itatupwa humu....hata kama kuna jamii check sio kila mtu atafika huko kwenye jamii checj kukagua habar
 
Matusi tumejifunza kwenu kila kukicha wamzulie Mtume Muhammad uwongo na Uislam uwongo. Sawa we amini bibilia yako lakini hio hio bibilia yako inakubaliana na hadithi ya Mtume Muhammad aliyo sema Waisrael watajificha kila mahali lakini watasemwa yule Muisrael kajificha 😄

Hivi huwa mnazipekua bibilia zenu kweli au mnaishia kuimba nyimbo tu pale kanisani, afu mkitoka pale mnaenda kugawa uhondo, Nakumbuka nilikuwa kule Lancashire siku ya Christmas na order Donna kabab, vilikuja vibint vya kizungu vinanibembeleza nivichukue nyumbani kwangu. Eti vimeachwa na train 😄 Nikavitania mnataka kunywa coffee vikarukia ndio. Nikakumbuka ile story ya rafiki yangu aliniambia siku za Christmas wanawake wa kikristo lazima wagawe UHONDO eti ni dhambi kumnyima mwanaume hahaha. Kweli dini yenu inanuka zina tupu.
Wacheni zina kwanza na mvae mavazi ya heshima, ndio mnaweza kuwa tofouti na wanyama, ndio mana hata bibilia hamzielewi bado.

Chukua chuma hicho kama unaweza kukimeza kimeze tu, usiseme kimekuzidia.

Amos 9
Israel Will Be Destroyed

1I saw the Lord standing next to the altar in the temple. He said to me,

“Strike the tops of the temple pillars.

Then the heavy stones at the base of the entrance will shake.

Bring everything down on the heads of everyone there.

I will kill with my swords

those who are left alive.

None of the Israelites will escape.

None will get away.

2They might dig down deep.

But my powerful hand will take them out of there.

They might climb up to the heavens.

But I will bring them down from there.

3They might hide on top of Mount Carmel.

But I will hunt them down

and grab them.

They might hide from me at the bottom of the ocean.

But even there I will command the serpent to bite them.

4Their enemies might take them away

as prisoners to another country.

But there I will command Israel’s enemies

to cut them down with swords.

I will keep my eye on Israel to harm them.

I will not help them.”
 
Mavazi ya heshima ndio mavazi gani hijab au nikab. Angalia roho ya mtu sio mavazi na kwa nini ni mwanamke tu je mwanaume yeye huyo mungu wenu amesema wavaeje..!!🤣🤣
 
wakati huo huo Israel inaendelea kuwashambulia watoto wao Hezbollah na syria kwenye wanajeshi wa iran bila woga wakisubiri iran aanzishe ili wamalize kazi. myahudi anatisha wewe, iran anawaogopa mno, ndo maana hata last time walivyojifanya wameishambulia israel walitoa kauli haraka kwamba hawategemei kushambulia tena.
 
Kama hana lolote sasa wameshindwa nini kumtoa hapo miongo yote hiyo, si unaona unaongea tu kama mvuta bangi moja wa Mbagala kwa Mfuga Nyoka.
 
Sasa unajifanya mtabiri kujuwa nnachotamani mimi?

Uislam maana yake mojawapo ni amani. Lakini haimaanishi unapopigwa la kulia ugeuze na la kushoto.

Hii habari ni muflis kabisa.
Usitake kutudanganya wewe mama. Uislam ni utamaduni wa kiarabu. Period. Uislam sio dini. Never.
 
Na wewe huna bado viwango vya kujadili international affairs maana hata uwezo wako wa kufikiria unaonyesha ni mdogo sana
Huyo ndio ana akili na wewe ndio unaonekana huna akili kwa sababu ametoa point muhimu sana kuhusiana na kinachotokea kwenye vita vya Israel na magaidi wa Hamas.

Magaidi wa Hamas hawanaga sare na wanajificha miongoni mwa wanawake na watoto sasa ulitaka Israel wafanye nini wawauwe wapalestina wote..!!

Tena kinachosaidia ni kwamba jeshi la Israel ni "highly professional" kiasi kwamba isingekuwa hivyo sasa hivi kusingekuwa na mpalestina hata moja anayeishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…