Rais wa Iran asema mfumo wa ulinzi dhidi ya makombora wa Israel wa iron dome wa Israel ni mwepesi na laini kama glasi

Sio waje waseme kuwa Israel ni gaidi hapo baadae
 
Hao watatoka mbio kama mwaka 2006.
Waliwachiwa hivi hivi, waingie kwanza, kimbembe cha baada ya kuingia? Na vile walivyo kunguru hao, lazima watatoka mbio.
Kipigo cha jana mpaa alikuwa anatoa ulimi kama mbwa afu anatetemeka mpaa wakamua kuwacha kuonyesha mikono yake. Hapo alikuwa chini ya shimo wanalita wao eti siku ya kiyama huku anatetemeka πŸ˜„


View: https://youtu.be/XC5yYTqAWTg?si=hyYeYYyLjrAlH1HK
 
Hiyo mifumo yote uliyotaja katika shambulio la May iliwashwa na haikufanya kazi kazi kiufanisi.
Hata tukio la jana hiyo mifumo ilikua kazini kufanya kazi ila haikufua dafu.
 
Muache ajifanye amnazo kama chemical Ali
 
Jana zilikuwa zimelala sio .vyuma vya jana sio lazima udake sio mishale ile hana iyo defence ya kuzuia
πŸ˜…πŸ˜…
Zilipiga wapi sasa?

Kikatokea nini?

Wafuasi wa Allah leteni hata picha tu basi
 
Hiyo mifumo yote uliyotaja katika shambulio la May iliwashwa na haikufanya kazi kazi kiufanisi.
Hata tukio la jana hiyo mifumo ilikua kazini kufanya kazi ila haikufua dafu.
Kwa hiyo makombora ya jana ya irani yalipiga wapi na wapi?

Madhara yake ikawaje?
 
Ngoja waje kutoka kwenye maandaki.
 
Jan
Netanyahu A.K.A Isha mashauzi wa middle East tayari kashajua hana Air defence hiyo Iron Dome ni kama karatasi jana zimashambuliwa military Base 5 na maafa yametokea
Jana ndo nimeju jamaa pamoja na kitambi anambio balaa
 
Nakwambia kitu ambacho huwezi kuamini,ukweli ni kwamba maisha ya Netanyahu yapo hatarini zaidi kuliko Ayatollah na anaweza akaanza kutangulia Netanyahu kabla ya Ayatollah au watangulie wote kwa pamoja.
Jifariji mkuu usije pata sukari kwa vita ya watu huko mashariki
Sisi tuendelee na vita yetu ya ujinga na maradhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…