Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

Unatunga habari zako
unadhani hao jamaa ni wajinga
 
Kagame yupo ICU kwa corona naye inawezekana ugonjwa umekuja kuondoka na madicteta.
Juzi Goma Congo walikuwa wakisherekea kifo chake maana Congo itatulia Sasa,msemaji wake anasema yupo hai yupo ziarani ulaya
 
Dogo anawachora tu ....
ame keep low profile ana monitor response
infact hata yy anataka kujua uwezo wa taifa lake watu wake wa karibu na uwezo wao wa kutunza siri dhidi ya mataifa ya magharibi.....
 
Kama Bado Apone Haraka Sana Alijenge Taifa Lake
Ikiwa Kaitwa Akaitika Basi Alazwe Anapostahiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…