Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Hakuna mzizi hapo wanamtoa tu haraka sana .Bunge limepiga amri ya Rais kwa 100% muda mfupi uliopita View attachment 3168240
Haiwezekani mzee, kama kumtoa wangeamua miaka hiyo kwa sasa tayari miziz hadi kwa culture imeshazama, licha ya mahusiano ya kijeshi na kiuchumi. Korea imeshakuwa americanized, na amerika ana base zake pale

Si rahis, si rahis
 
Haiwezekani mzee, kama kumtoa wangeamua miaka hiyo kwa sasa tayari miziz hadi kwa culture imeshazama, licha ya mahusiano ya kijeshi na kiuchumi. Korea imeshakuwa americanized, na amerika ana base zake pale

Si rahis, si rahis
Amerika walishakua na base Afghanistan na Iraq mpaka hip-hop ilikua inapigwa Leo kikowapi
 
Yaani hiyo nchi inayolindwa na Marekani inamuogopa Kiduku kiasi hicho au jamaa amewafanya kisingizio cha kutangaza hali ya hatari?
T14 Armata
 
Wanajeshi wameamua kukubaliana na Hali halisi wameanza kuondoka katika viwanja vya Bunge huku wengine wakisema wanaona aibu kwa kitendo walichokifanya cha kuvamia wabunge waliochaguliwa na wananchi. Inasemekana Rais wa Korea kwa sasa anafanyiwa utaratibu wa haraka kihifadhiwa katika Kambi ya jeshi la Marekani nchini Japan kwa usalama wake.

Kim Rais wa Korea kaskazini ameonekana jioni hii akikagua baadhi ya makombora yake ya masafa marefu katika Kambi ya jeshi mjini pyong yang.
 
Rais anamsingizia Kim Bure .Wananchi wamechoka kuburuzwa na Washington. Wabunge wamepinga sheria hiyo kwa kura zote 190 VS 0 spika wa Bunge ametangaza muda mfupi uliopita View attachment 3168239
Inafikirisha sana kuhusu Mamlaka ya Bunge la huko. Huku bongo Rais ndiye Amiri jeshi mkuu. Akitamka tu', ina kuwa ni Amri halali. Sijui huko S. Korea ikoje?
 
Mbona wanahangaika? Waje huku bongo wajifunze ile mbinu ya kuteka watu mchana kweupe ili kuwashughulikia wapinzani wanaoisumbua Serikali iliyo madarakani.
Athubutuuu huko wakileta mbinu za kwetu askari wote watauwawa mchana kweupe.kule wenzetu kumiliki silaha ni kama kuwa na simu ukimzingua raia anakushona tu Wala hajali
 
Mmmh. The benefit of doubt. Kiduku anaweza kujiongeza na akaiunganisha NK na SK na kumaliza biashara.
 
Nyie hamna madhara kwa serikali ya kibongo,,, na siku mtakayojalibu kuleta fyoko basi nyie na huyo mjomba wenu mtajua kilichomtoa kanga manyoa,, alafu huyo mjomba yenu mnavyo mfagilia utasema labda yeye putin, kumbe wabongo tukichafukwa tuna uwezo kumtia mkononi pale kigali tena kwa kutuma chafu kama mbili tu kutoka ngerengere na wala si kikosi, kwa maana kutuma kikosi kizima kwa mtu kama bwana mrefu ni matumizi mabaya ya jeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…