Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Wanatakiwa wapambane na hali zao wasisikilize propaganda za wamarekani wakalitia taifa lao matatizoni. Wameshapiga hatua wakae wale matunda hizi siasa nyingine hazina faida yoyote
Humjui mmarekani. Tena utasikia, ni habari za ki-inteljensia toka marekani.
Mahesabu ya Marekani ni kuuza Silaha kwa kuiingiza S. korea katika vita na N. Korea.
Na vile vile kumharibia Trump aliyeahidi kuzima vita vyote ambavyo Marekani inahusika moja kwa moja. Sasa S. Korea ikiingia vitani wewe Marekani utajiepusha vipi. Hizo ndio siasa za Ma- Demokrat aka Biden.

Mmarekani ana njaa sana sasa hivi. Hayupo juu sana kiuchumi kama watu wanvyomfikiria.
 
Halafu baadae atalaumiwa Mrusi. Mjomba wangu Mmarekani hajambo kwa propaganda. Ya Ukraine na Gaza yamemshinda anaanzisha Mengine. Usisahau yale ya Aleppo- Syria.
 

Mdomo Mali yako unaruhusiwa kuongea.
 
Lakini Wanajeshi wanamtii Rais. By the way, nimeona hapo Wanajeshi wamejiondoa maeneo ya Bunge i.e. Wamekaidi Amri ya Rais. Manake wamesimama upande wa Wananchi. au
Mkuu wa Jeshi la Korea muda mfupi uliopita amesema amri ya Rais itaendelea kutekelezwa mpaka rais atakaposema vinginevyo . Ninavyoona rais hawezi kukaza shingo kupindua amri yake akikaidi Wananchi watamlazimisha kwa nguvu akikataa jeshi litamtoa kwa nguvu.
 
Aloo, binafsi niliwahi kumbana na hao jamaa zetu, wamechukua mikopo kabisa ya loan board na wameajiriwa hapa.
 
Hapo tayari ameshapindiliwa sema yuko under control hivyo anazunguza anachoamriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…