Humjui mmarekani. Tena utasikia, ni habari za ki-inteljensia toka marekani.
Mahesabu ya Marekani ni kuuza Silaha kwa kuiingiza S. korea katika vita na N. Korea.
Na vile vile kumharibia Trump aliyeahidi kuzima vita vyote ambavyo Marekani inahusika moja kwa moja. Sasa S. Korea ikiingia vitani wewe Marekani utajiepusha vipi. Hizo ndio siasa za Ma- Demokrat aka Biden.
Mmarekani ana njaa sana sasa hivi. Hayupo juu sana kiuchumi kama watu wanvyomfikiria.
Kujilinda sio woga, muoga huwa hajilindi bali anajisalimisha. Nchi ikichukua hatua haisemwi kwamba inaogopa.Yaani hiyo nchi inayolindwa na Marekani inamuogopa Kiduku kiasi hicho au jamaa amewafanya kisingizio cha kutangaza hali ya hatari?
T14 Armata
Imetajwa South Korea unamtaja Putin.Putin hakika ameendelea kula vichwa vya viongozi na vibaraka na vibarakala wa NATO. Mpaka SMO kuisha, tutakuwa tumeshuhudia mengi.
Halafu anatokea mtu kama T14 Armata anadai eti Russia haijatimiza malengo yake ya SMO? Who are you?
NB: Maendeleo hayana chama!
HAAA BAN IMEKWISHA JINIASI NIMERUDI HEWANI💥💥💥💥😁😁Muda mchache uliopita Rais wa Korea kusini ametangaza Hali ya hatari na kusema kuanzia Leo serikali inaongozwa chini ya sheria ya kijeshi, amevunjwa Bunge , vyombo vyote vya habari vipo chini ya serikali, hakuna maandamano Wala shughuli zozote za kisiasa.
Inasemekana wabunge wa upinzani ambao ndio wengi wanaipinga serikali na Rais ametangaza kuwa North Korea amepenyeza mamluki Serikalini ambao wanataka kuipindua serikali yake na kuweka utawala wenye itikadi za Kim jong UN Rais wa Korea kaskazini.
Hivi sasa mitaani ni Jeshi linashika doria na kusimamia shughuli zote za serikali.
=======
==
South Korea’s president has declared emergency martial law, accusing the opposition of antistate activities.
While making the announcement on Tuesday, President Yoon Suk-yeol said he will rebuild a free and democratic country through martial law.
“To safeguard a liberal South Korea from the threats posed by North Korea’s communist forces and to eliminate antistate elements … I hereby declare emergency martial law,” Yoon said in a live televised address.
“This is an unavoidable measure to ensure the freedom and safety of the people and guarantee the sustainability of the nation against the unrest stirred by these subversive, antistate elements.
“The National Assembly has also completely cut budgets essential for national operations, drug crime prevention and public safety, undermining the core functions of the state. This has left our citizens in a state of chaos with the nation becoming a haven for drugs and public safety collapsing.”
According to local news outlet Yonhap, entrance to the National Assembly was sealed and parliamentarians have been barred from entering the building.
General Park An-soo, the martial law commander, announced a number of measures under the declaration, including prohibitions on all political activities, “including those of the National Assembly, local councils, political parties, and political associations, as well as assemblies [and] demonstrations”.
The order prohibited labour strikes and slowdowns, as well as “gatherings that incite social disorder”. It further stated that all media will be placed under the control of the Martial Law Command.
“Any acts that deny or attempt to overthrow the liberal democratic system, as well as the dissemination of fake news, manipulation of public opinion, or false propaganda,” the order said.
Chanzo: aljazeera.com
View attachment 3168213
Lissu aliniaminisha kuwa maandamano hayawezi kuzuiliwa katika nchi ya Kidemokrasia. Sijui ukweli ni upi? Ngoja Lissu aje hapa atufafanulie.Mbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
Hawa series zao nyingi zina usu Raisi kutaka kupindiliwa madarakani naona sasa inaelekea hukoIle series ya Iris ilinionyesha vitu vingi sana ambavyo havimo mwenye ile series
Hakuna aliedhani Manchester unitede atakuwa tango, mtu anajua jana lkn hajui kesho yake itakuwa . Hata TMA wanadunganya baadhi ya sikuHakuna mzizi usio katika mzee tena hasa zama kama hizi hata France hakudhania kama kuna siku makoloni yake kule west afrique yangemchenjia au hata west hawakuamini kama utawala wa shah pale Iran ungepigwa kumbo dhidi yao mambo hubadilika acha kukariri
Ingekuwa Cuba kura zingepinduliwa 0 Hapana 190 ndiooooo na wakati wa kupiga kura kila mbunge angeanza kumshukuru Rais🐼Duh! Ingetokea kwa Kim bunge zima wangekuwa wanafukiwa kwenye makaburi ya jumla wao na familia zao na majirani na ndugu, jamaa na marafiki wote. Kim hana utani kwenye kulinda utawala wake.
nenda kakatike stejini huko pro ukomunisti.Kale magimbi ulale. Haya mambo yako juu ya upeo wako.
Bado SISI na CCM TU!!!?.Duuh dunia sasa hivi imechangamka kila sehemu
Wabunge wa chama tawala na chama cha upinzani wameungana kukataa utawala wa kijeshi wanasema sio sehemu ya katibaRais ndio analalamika kuwa Kuna watu Serikalini wametumwa na Kim kuipindua serikali. Hivi sasa jeshi limevamia jengo la bunge
Amehisi au amepata taarifa za, kiintelijensia kuwa ndani ya serikali, kwa maana yq watumishi wa umma,mawaziri,kuna ambao ni ma agent wa North Korea, wanafanya ujasusi wa ku destabilize nchi kwa niaba ya North Korea! Kama ilivyo bongo, wajomba zangu kutoka kwa anko PK tumejaa kila Kona, ukituona, unatuita hawa si wana, au wa haya, au wanyambo, sie ni wale wale tu, kuanzia Rwanda, Burundi, Uganda, Tunaongea lugha moja, ni sawa na Mmarekani na Mkanada,
Kabisa na huu ndio ukweli hakuna anae ijua keshoHakuna aliedhani Manchester unitede atakuwa tango, mtu anajua jana lkn hajui kesho yake itakuwa . Hata TMA wanadunganya baadhi ya siku
Kwamba malengo ya operesheni ya Urusi kuvamia Ukraine ni pamoja na kuangusha serikali ya South korea?Mbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
kavulata huyu mwamba ana uzi wake unaishi mpaka leoPutin hakika ameendelea kula vichwa vya viongozi na vibaraka na vibarakala wa NATO. Mpaka SMO kuisha, tutakuwa tumeshuhudia mengi.
Halafu anatokea mtu kama T14 Armata anadai eti Russia haijatimiza malengo yake ya SMO? Who are you?
NB: Maendeleo hayana chama!
Wanalaani kueka vikwazo na matamko kwa mtu ambae sio kibaraka waoMbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
TogolaniKama tuna ubalozi huko,waanze kufungasha virago.
Basi sisi wapenda haki tupo pamoja na raia wa Korea kusini dhidi ya huyo kibaraka ndio maana United shirts of Americants ipo kimyaSi kweli
Impeachment sio mara ya kwanza kutokea SK
Hata mwaka 2017 ilitokea na ukafanyika uchaguzi mgombea wa chama cha upinzani akashinda
Hivyo vyama viwili vina ushindani sana kuna wakati bungeni chama cha upinzani kikiwa na wabunge wengi ni rahisi kufanya impecheament
Kitakachotokea hapo chama cha upinzani kitaenda kupiga kura hiyo martial law iliyowekwa na raisi wa sasa itaondolewa na uchaguzi utaitishwa raisi wa sasa atakuwa impeached
Na bila kupepesa macho upinzani watashinda mchana kweupe
Huyu raisi wa sasa wa SK ni puppet sana wa U.S, kitu ambacho wapinzani hawapendezwi nacho
Wapinzani wanataka foreign policy ya SK iwe na balance kati yao na China na Marekani