Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Humjui mmarekani. Tena utasikia, ni habari za ki-inteljensia toka marekani.
Mahesabu ya Marekani ni kuuza Silaha kwa kuiingiza S. korea katika vita na N. Korea.
Na vile vile kumharibia Trump aliyeahidi kuzima vita vyote ambavyo Marekani inahusika moja kwa moja. Sasa S. Korea ikiingia vitani wewe Marekani utajiepusha vipi. Hizo ndio siasa za Ma- Demokrat aka Biden.

Mmarekani ana njaa sana sasa hivi. Hayupo juu sana kiuchumi kama watu wanvyomfikiria.

North Korea hata NATO na Marekani wenyewe hawawezi kuichezea sharubu.
 
Putin hakika ameendelea kula vichwa vya viongozi na vibaraka na vibarakala wa NATO. Mpaka SMO kuisha, tutakuwa tumeshuhudia mengi.

Halafu anatokea mtu kama T14 Armata anadai eti Russia haijatimiza malengo yake ya SMO? Who are you?

NB: Maendeleo hayana chama!
Imetajwa South Korea unamtaja Putin.
Hujui hata Putin ni Rais wa wapi
 
Muda mchache uliopita Rais wa Korea kusini ametangaza Hali ya hatari na kusema kuanzia Leo serikali inaongozwa chini ya sheria ya kijeshi, amevunjwa Bunge , vyombo vyote vya habari vipo chini ya serikali, hakuna maandamano Wala shughuli zozote za kisiasa.

Inasemekana wabunge wa upinzani ambao ndio wengi wanaipinga serikali na Rais ametangaza kuwa North Korea amepenyeza mamluki Serikalini ambao wanataka kuipindua serikali yake na kuweka utawala wenye itikadi za Kim jong UN Rais wa Korea kaskazini.

Hivi sasa mitaani ni Jeshi linashika doria na kusimamia shughuli zote za serikali.
=======
==

South Korea’s president has declared emergency martial law, accusing the opposition of antistate activities.

While making the announcement on Tuesday, President Yoon Suk-yeol said he will rebuild a free and democratic country through martial law.

“To safeguard a liberal South Korea from the threats posed by North Korea’s communist forces and to eliminate antistate elements … I hereby declare emergency martial law,” Yoon said in a live televised address.

“This is an unavoidable measure to ensure the freedom and safety of the people and guarantee the sustainability of the nation against the unrest stirred by these subversive, antistate elements.

“The National Assembly has also completely cut budgets essential for national operations, drug crime prevention and public safety, undermining the core functions of the state. This has left our citizens in a state of chaos with the nation becoming a haven for drugs and public safety collapsing.”

According to local news outlet Yonhap, entrance to the National Assembly was sealed and parliamentarians have been barred from entering the building.

General Park An-soo, the martial law commander, announced a number of measures under the declaration, including prohibitions on all political activities, “including those of the National Assembly, local councils, political parties, and political associations, as well as assemblies [and] demonstrations”.

The order prohibited labour strikes and slowdowns, as well as “gatherings that incite social disorder”. It further stated that all media will be placed under the control of the Martial Law Command.

“Any acts that deny or attempt to overthrow the liberal democratic system, as well as the dissemination of fake news, manipulation of public opinion, or false propaganda,” the order said.

Chanzo: aljazeera.com
View attachment 3168213
HAAA BAN IMEKWISHA JINIASI NIMERUDI HEWANI💥💥💥💥😁😁
 
Mbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
Lissu aliniaminisha kuwa maandamano hayawezi kuzuiliwa katika nchi ya Kidemokrasia. Sijui ukweli ni upi? Ngoja Lissu aje hapa atufafanulie.
 
Hakuna mzizi usio katika mzee tena hasa zama kama hizi hata France hakudhania kama kuna siku makoloni yake kule west afrique yangemchenjia au hata west hawakuamini kama utawala wa shah pale Iran ungepigwa kumbo dhidi yao mambo hubadilika acha kukariri
Hakuna aliedhani Manchester unitede atakuwa tango, mtu anajua jana lkn hajui kesho yake itakuwa . Hata TMA wanadunganya baadhi ya siku
 
Duh! Ingetokea kwa Kim bunge zima wangekuwa wanafukiwa kwenye makaburi ya jumla wao na familia zao na majirani na ndugu, jamaa na marafiki wote. Kim hana utani kwenye kulinda utawala wake.
Ingekuwa Cuba kura zingepinduliwa 0 Hapana 190 ndiooooo na wakati wa kupiga kura kila mbunge angeanza kumshukuru Rais🐼
 
Rais ndio analalamika kuwa Kuna watu Serikalini wametumwa na Kim kuipindua serikali. Hivi sasa jeshi limevamia jengo la bunge
Wabunge wa chama tawala na chama cha upinzani wameungana kukataa utawala wa kijeshi wanasema sio sehemu ya katiba

Hawa wana hang over ya kutawaliwa kijeshi zamani wanaelewa

Kingine, Yoon Suk Yeol ni very unpopular

Ikumbukwe he won elections kwa gap dogo mno
 
Amehisi au amepata taarifa za, kiintelijensia kuwa ndani ya serikali, kwa maana yq watumishi wa umma,mawaziri,kuna ambao ni ma agent wa North Korea, wanafanya ujasusi wa ku destabilize nchi kwa niaba ya North Korea! Kama ilivyo bongo, wajomba zangu kutoka kwa anko PK tumejaa kila Kona, ukituona, unatuita hawa si wana, au wa haya, au wanyambo, sie ni wale wale tu, kuanzia Rwanda, Burundi, Uganda, Tunaongea lugha moja, ni sawa na Mmarekani na Mkanada,
Si kweli

Impeachment sio mara ya kwanza kutokea SK

Hata mwaka 2017 ilitokea na ukafanyika uchaguzi mgombea wa chama cha upinzani akashinda

Hivyo vyama viwili vina ushindani sana kuna wakati bungeni chama cha upinzani kikiwa na wabunge wengi ni rahisi kufanya impecheament

Kitakachotokea hapo chama cha upinzani kitaenda kupiga kura hiyo martial law iliyowekwa na raisi wa sasa itaondolewa na uchaguzi utaitishwa raisi wa sasa atakuwa impeached

Na bila kupepesa macho upinzani watashinda mchana kweupe

Huyu raisi wa sasa wa SK ni puppet sana wa U.S, kitu ambacho wapinzani hawapendezwi nacho

Wapinzani wanataka foreign policy ya SK iwe na balance kati yao na China na Marekani
 
Mbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
Kwamba malengo ya operesheni ya Urusi kuvamia Ukraine ni pamoja na kuangusha serikali ya South korea?

Wabongo akili zenu huwa mnaacha wapi?
 
Putin hakika ameendelea kula vichwa vya viongozi na vibaraka na vibarakala wa NATO. Mpaka SMO kuisha, tutakuwa tumeshuhudia mengi.

Halafu anatokea mtu kama T14 Armata anadai eti Russia haijatimiza malengo yake ya SMO? Who are you?

NB: Maendeleo hayana chama!
kavulata huyu mwamba ana uzi wake unaishi mpaka leo
 
Mbona Marekani, Uingereza na wengine hatusikii wakilaani Serikali ya S.Korea kukandamiza Demokrasia kwa Serikali kuweka Majeshi barabarani kuzuia MAANDAMANO
Wanalaani kueka vikwazo na matamko kwa mtu ambae sio kibaraka wao
 
Si kweli

Impeachment sio mara ya kwanza kutokea SK

Hata mwaka 2017 ilitokea na ukafanyika uchaguzi mgombea wa chama cha upinzani akashinda

Hivyo vyama viwili vina ushindani sana kuna wakati bungeni chama cha upinzani kikiwa na wabunge wengi ni rahisi kufanya impecheament

Kitakachotokea hapo chama cha upinzani kitaenda kupiga kura hiyo martial law iliyowekwa na raisi wa sasa itaondolewa na uchaguzi utaitishwa raisi wa sasa atakuwa impeached

Na bila kupepesa macho upinzani watashinda mchana kweupe

Huyu raisi wa sasa wa SK ni puppet sana wa U.S, kitu ambacho wapinzani hawapendezwi nacho

Wapinzani wanataka foreign policy ya SK iwe na balance kati yao na China na Marekani
Basi sisi wapenda haki tupo pamoja na raia wa Korea kusini dhidi ya huyo kibaraka ndio maana United shirts of Americants ipo kimya
 
Back
Top Bottom