Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Uyu kiongozi kuna msala unamuusu mke wake akaomba radhi lkn inaonekana wajuba wenzie wamemgomea wanataka ajibebe na majangan yake!! Sasa yeye eti ndio kaja na ishu ya Kim lkn wapi ndio wameungana Wabunge wote kabisa lazima atoke!!
 
Hakuna mzizi usio katika mzee tena hasa zama kama hizi hata France hakudhania kama kuna siku makoloni yake kule west afrique yangemchenjia au hata west hawakuamini kama utawala wa shah pale Iran ungepigwa kumbo dhidi yao mambo hubadilika acha kukariri
Pale Iran, france na UK walimsaidia ayatollah baada ya shah kuwataka walipe mirabaha stahiki kwenye mafuta, ayatollah alipoingia akaaply taqia,kesho yake tu vikwazo mpaka leo
 
Baada yz kuomba radhi alidhani msmbo yameisha akatonywa Wabunge wanaenda kukupigia kula ya kutokuwa na Iman nawewe, kujua ivyo ndio kawai kuvunja Bunge, Akimtuumu Kim kuwazuga wenzie lkn ndio kayakologa kabisa!!!!
 
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 Yale ma free satellite dish 📡 yalikuwa na chaneli Moja ya South Korea ya kuitwa Arirang ilikuwa HD sana. Korea Hoiyee
 
Baada yz kuomba radhi alidhani msmbo yameisha akatonywa Wabunge wanaenda kukupigia kula ya kutokuwa na Iman nawewe, kujua ivyo ndio kawai kuvunja Bunge, Akimtuumu Kim kuwazuga wenzie lkn ndio kayakologa kabisa!!!!
Dah, mwamba, kuandika kiswahili tabu!!..nyie ndiyo kizazi cha elfu 2!?
 
Haja overreacting ila amezidiwa Wananchi hawamtaki kwa sababu ni agent wa marekani. Maofisa wa serikali na wabunge wote wanataka sera za kiduku ziwe applied hapo Seoul. Kakaza shingo anasema lazima democrasia itawale atakufa na tai shingoni.kama mjerumani.
Wapambanie kuziunganisha nchi zao izaliwe Korea 1. Huu ujinga wa kufarakanishwa wakati wanafanana mapaka kucha wasiulee tena.
 
Si kweli

Impeachment sio mara ya kwanza kutokea SK

Hata mwaka 2017 ilitokea na ukafanyika uchaguzi mgombea wa chama cha upinzani akashinda

Hivyo vyama viwili vina ushindani sana kuna wakati bungeni chama cha upinzani kikiwa na wabunge wengi ni rahisi kufanya impecheament

Kitakachotokea hapo chama cha upinzani kitaenda kupiga kura hiyo martial law iliyowekwa na raisi wa sasa itaondolewa na uchaguzi utaitishwa raisi wa sasa atakuwa impeached

Na bila kupepesa macho upinzani watashinda mchana kweupe

Huyu raisi wa sasa wa SK ni puppet sana wa U.S, kitu ambacho wapinzani hawapendezwi nacho

Wapinzani wanataka foreign policy ya SK iwe na balance kati yao na China na Marekani
Mara ya mwisho South Korea Ku adopt martial law ilikua 1980 na ilitokea Mauaji makubwa ya waandamanaji. Siyo kitu cha kawaida kama unavyotaka kuwaaminisha wasomaji hapa
 
Haja overreacting ila amezidiwa Wananchi hawamtaki kwa sababu ni agent wa marekani. Maofisa wa serikali na wabunge wote wanataka sera za kiduku ziwe applied hapo Seoul. Kakaza shingo anasema lazima democrasia itawale atakufa na tai shingoni.kama mjerumani.
Ukomunisti utawasaidia nini hapo South Korea.
 
Wabunge wa chama tawala na chama cha upinzani wameungana kukataa utawala wa kijeshi wanasema sio sehemu ya katiba

Hawa wana hang over ya kutawaliwa kijeshi zamani wanaelewa

Kingine, Yoon Suk Yeol ni very unpopular

Ikumbukwe he won elections kwa gap dogo mno
Kabisa, jamaa hadi wabunge wa chama chake wamekataa kumuunga mkono.....huyu ataongoza kwa tabu mno labda ajiuzulu tu.
 
Back
Top Bottom