LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
nikitaja dini nitakupa pointi, chakata mwenyewe hayo ni madhehebu ya dini gani ila usijumuishe hiyo dini na ushenzi huoNimeuliza dini mkuu, sio madhehebu...ila ahsante!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikitaja dini nitakupa pointi, chakata mwenyewe hayo ni madhehebu ya dini gani ila usijumuishe hiyo dini na ushenzi huoNimeuliza dini mkuu, sio madhehebu...ila ahsante!
Dah mkuu lakini wanatoa magoli sana aoKuanzia Leo si weki mkeka kwa mechi za lativia
Anaonekana ni mkristo kwa jina lake.Kwani ni Dini gani?
Tatizo ni kuwa waswahili tunaendekeza sana kutaka kujua mambo binafsi ya watu wengine, ambayo hayatuhusu. Watu wanataka kujua jamaa kalala na mwanamke gani au gesti gani; mambo ambayo ni ya wahusikia kulingana na dini au imani zao. Kwa nini tuyalete serikalini?Mila zao desturi zao waishi nazo wenyewe wala kwetu si habari nzuri wala haituvutii kama umempenda nenda kaishi huko.
Kwa hiyo viongozi wake wa dini wameridhia, au ndiyo atakuwa anaenda kuungama dhambi kila jmapili, mwee dhambi.jamani ndaga fijo na maroliAnaonekana ni mkristo kwa jina lake.
Unavyoshangaa utadhani hayo mambo hayapo huko nchini kwenu!? Au kwa vile huko hawajitangazi?Kweli jamii zetu hutofautiana sana kimtizamo. Je tunaelekea huku na sisi siku moja...
mkuu umewaza kama mm. hahaaaKuanzia Leo si weki mkeka kwa mechi za lativia
Mimi hata sishangai kitu nimeamua tu kujivika hali ya waafrika wenzangu ili kuendana na hisia zao.Unavyoshangaa utadhani hayo mambo hayapo huko nchini kwenu!? Au kwa vile huko hawajitangazi?
Wasabato bwanaasilimia kubwa ni wakatoliki wakifuatiwa na waothodox
uliposoma nimeandika wakatoliki ukajua mi ni msabatoWasabato bwana
Kwa hiyo "ushoga" wake amepewa baada ya kuwatetea mashoga?Kweli jamii zetu hutofautiana sana kimtizamo. Je tunaelekea huku na sisi siku moja?
Huyo anaitwa Edgar Rinkevics, ametumikia muda mrefu (tangu 2011) kama waziri wa mambo ya nje wa Latvia huko Ulaya Mashariki.
Umoja wa Ulaya umewahi kuwa na viongozi mashoga wa serikali lakini sio kiongozi mkuu wa serikali hadi Edgar anachaguliwa.
Tangu mwaka 2014 bwana Rinkevics mwenye umri wa miaka 49 amekuwa mtetezi mkubwa wa mashoga na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Ndoa za jinsia moja Latvia ni haramu pamoja na kwamba Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo imeruhusu ndoa hizo tangu mwaka jana.
Mwezi Mei mwaka huu bunge la Latvia lilimchagua Rinkevics kuwa rais. Katika hotuba yake ya ufunguzi, bwana Rinkevics ameahidi kujenga Latvia ya kisasa yenye nguvu, na yenye kufuata sheria na haki kwa ajili ya faida ya watu wote.
Analiwa au anatafunaKweli jamii zetu hutofautiana sana kimtizamo. Je tunaelekea huku na sisi siku moja?
Huyo anaitwa Edgar Rinkevics, ametumikia muda mrefu (tangu 2011) kama waziri wa mambo ya nje wa Latvia huko Ulaya Mashariki.
Umoja wa Ulaya umewahi kuwa na viongozi mashoga wa serikali lakini sio kiongozi mkuu wa serikali hadi Edgar anachaguliwa.
Tangu mwaka 2014 bwana Rinkevics mwenye umri wa miaka 49 amekuwa mtetezi mkubwa wa mashoga na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Ndoa za jinsia moja Latvia ni haramu pamoja na kwamba Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo imeruhusu ndoa hizo tangu mwaka jana.
Mwezi Mei mwaka huu bunge la Latvia lilimchagua Rinkevics kuwa rais. Katika hotuba yake ya ufunguzi, bwana Rinkevics ameahidi kujenga Latvia ya kisasa yenye nguvu, na yenye kufuata sheria na haki kwa ajili ya faida ya watu wote.