Rais wa kwanza shoga kutoka Ulaya aapishwa huko Latvia

Mila zao desturi zao waishi nazo wenyewe wala kwetu si habari nzuri wala haituvutii kama umempenda nenda kaishi huko.
Tatizo ni kuwa waswahili tunaendekeza sana kutaka kujua mambo binafsi ya watu wengine, ambayo hayatuhusu. Watu wanataka kujua jamaa kalala na mwanamke gani au gesti gani; mambo ambayo ni ya wahusikia kulingana na dini au imani zao. Kwa nini tuyalete serikalini?
 
Unavyoshangaa utadhani hayo mambo hayapo huko nchini kwenu!? Au kwa vile huko hawajitangazi?
Mimi hata sishangai kitu nimeamua tu kujivika hali ya waafrika wenzangu ili kuendana na hisia zao.
 
Pamoja marekani anapenda vitu hivyo.Nakwambia hawaleti rais shoga.Wataleta Rais ambaye sio shoga.Nchi ndogo hupokea kila chakijinga wakati wenzao hawataki Rais Shoga(Marekani)
 
Hatutachoka kukuomba kwani kwa nguvu zetu wenyewe hatuwezi!!!!!!! Tumuombe sana Mungu. Pata picha rais anakuwa shoga!!!!

Latvia swears in Edgars Rinkevics as EU's first openly gay president​


Latvia's long-serving foreign minister Edgars Rinkevics has become the first openly gay head of state of a European Union nation.

Mr Rinkevics, who had served as foreign minister since 2011, was sworn in as Latvia's president on Saturday in Riga.

The EU has had openly gay heads of governments before, but never a gay head of state.
Source:BBC/09/2023
Liangalie kwanza:

Mr Rinkevics came out publicly in 2014, posting on Twitter: "I proudly announce I am gay… Good luck all of you.
 
Kwa hiyo "ushoga" wake amepewa baada ya kuwatetea mashoga?
 
Kwaiyo Nchi nzima inanuka mavi[emoji848]
 
Analiwa au anatafuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…