Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?


Hata kwenye huu ujinga uko na JK, hii ni zaidi ya mahaba niue.
 

Ni mtanzania mjinga tu anaeweza kumheshimu huyu muhuni
 
Pamoja na madhaifu yote ye JK kuhusu sakata la Escrow, mwenzenu natatizwa na upeo na uzalendo wa mkuu huyu jamani.

Kuiita fedha halali ya nchi yako "madafu" ni kuidhalilisha nchi yako mwenyewe. Hivi nani aanze kuithamini fedha yake kama mkuu wa nchi? Na je mgeni akija akachukua fedha ambayo mkuu anaiita madafu akaenda chooni na kuchambia atakuwa ametenda kosa?

Tunaimbishwa kupenda vya kwetu, but unapoanza kutumia lugha ya ku-dunisha kilichochako nani akipende? Tumeimbishwa methali ya kuwa "ziwa la mama ni tamu hata kama ni la mbwa". Misemo kama hii kaka yetu amesahau kabisa.

Najuta kumfahamu...
 
Thank you Sir!
 
Mimi naogopa sana! Ipo siku Rais ataita State house kama Guest house

Watetezi watakuja na kusema hiyo ni tafsida.
 
Shedaaa,,,,,,,,
 

Attachments

  • IMG-20141222-WA0012.jpg
    64.9 KB · Views: 187
Mwenye nyumba anaidharau nyumba yake,sijui majirani wanamuonaje?
 
Ashike adabu yake. Pumbaaf kabisa! Rais mzima runnin' his mouth in state kwa style hii ya kijiweni ni aibu.
 
kwa mkuu wa nchi kusema neno kama hili whether anasema akichekacheka ama la inathali kiuchumi na katika ulimwengu wa roho! ni kuishusha dhamani ni kuilaani shilling yetu!
 
Mimi naogopa sana! Ipo siku Rais ataita State house kama Guest house

Watetezi watakuja na kusema hiyo ni tafsida.

MKULU alipoana wazee wa darisalama(dar es salaam),hawacheki hawatabasamu,wanamuangalia tu,akaona labda akisema ela za madafu watapiga vigeregere,kumbe ndo anaharibu zaidi
 
MKULU alipoana wazee wa darisalama(dar es salaam),hawacheki hawatabasamu,wanamuangalia tu,akaona labda akisema ela za madafu watapiga vigeregere,kumbe ndo anaharibu zaidi

Unaweza kusema kama utani, lakini ukweli ni kwamba Kikwete ana tabia ya kupepesa macho sana akijiona ana audience fulani hivi.

Ukitaka kuhakikisha tafuta hotuba aliyomjibu George Bush kumkaribisha, sehemu ya majibu na maswali umuone anavyojifaragua mpaka kusema anakuwa kama anashindwa hivi.
 
kwa mkuu wa nchi kusema neno kama hili whether anasema akichekacheka ama la inathali kiuchumi na katika ulimwengu wa roho! ni kuishusha dhamani ni kuilaani shilling yetu!

Katika nchi zinazoangaliwa uchumi duniani, rais kuiita hela yake hela ya madafu inaweza kuishusha hiyo hela thamani kiukweli kwenye money markets huko kutokana na speculators wanachoweza kusema "a display of lack of confidence from the very president of the country".
 
Mkuu aliteleza kidogo jamani hakuwa na maana mbaya
 
Ukitaka kuhakikisha tafuta hotuba aliyomjibu George Bush kumkaribisha, sehemu ya majibu na maswali umuone anavyojifaragua mpaka kusema anakuwa kama anashindwa hivi.

Hii?

Halafu cheki 10:11....Bush alikuwa ananifurahisha sana.

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…