SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Mimi Pia nina muunga mkono Rais Jk Kuita Shilingi taTZ ni Pesa ya Madafu kwa sababu Tanzania hakuna Viongozi wa Serikali wanaojali Maslahi ya Wananchi Viongozi karibu wote ni wabinafsi wanaojali Maslahi yao na Familia yao hawajali walala hoi. mimi pia ninaita Shilingi ya Tz ni Pesa ya Machungwa sio Madafu tu.
Yeye mwenyewe ndiye anaeifanya kuwa dafu kila siku anamwaga biillions of easy money mtaani kupitia ufisadi unaomfaidisha yeye na familia yake. Taifa limekuwa la kichuuzi mwingine anauza bidhaa za forever mwingine bidhaa za china. Wapi shilinhi itaimarika kwa Rais kama huyu ?
Last edited by a moderator: