Rais wa Palestina amsuta kiongozi wa dini wa Iran kuhusu vifo vya Wapalestina

Rais wa Palestina amsuta kiongozi wa dini wa Iran kuhusu vifo vya Wapalestina

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao.
============================

Palestinian President Mahmoud Abbas has issued a sharp response to Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who lauded Hamas's October 7 attacks on Israel.

In a statement, Mr Abbas said the Palestinian people are the ones who have paid the price of Israel's war on Gaza, which it launched in retaliation for the attacks in October.

"They are the first to be affected by this war [on Gaza], which has shed their blood and which has resulted in the death of more than 36,000 martyrs, and wounded 83,000 others, as well as the destruction of infrastructure as hospitals, schools, mosques, churches and the displacement of thousands of citizens and extermination of hundreds of families," he said.

Poleni brazaj
 
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao.
============================

Palestinian President Mahmoud Abbas has issued a sharp response to Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who lauded Hamas's October 7 attacks on Israel.

In a statement, Mr Abbas said the Palestinian people are the ones who have paid the price of Israel's war on Gaza, which it launched in retaliation for the attacks in October.

"They are the first to be affected by this war [on Gaza], which has shed their blood and which has resulted in the death of more than 36,000 martyrs, and wounded 83,000 others, as well as the destruction of infrastructure as hospitals, schools, mosques, churches and the displacement of thousands of citizens and extermination of hundreds of families," he said.

Poleni brazaj
Iran ndio iliwadanganya hamas wakaichokoze israel atawasaidie matokeo yake gaza imesagwa haitamaniki
 
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao.
============================

Palestinian President Mahmoud Abbas has issued a sharp response to Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who lauded Hamas's October 7 attacks on Israel.

In a statement, Mr Abbas said the Palestinian people are the ones who have paid the price of Israel's war on Gaza, which it launched in retaliation for the attacks in October.

"They are the first to be affected by this war [on Gaza], which has shed their blood and which has resulted in the death of more than 36,000 martyrs, and wounded 83,000 others, as well as the destruction of infrastructure as hospitals, schools, mosques, churches and the displacement of thousands of citizens and extermination of hundreds of families," he said.

Poleni brazaj
Ukifa ukiwa mkiristo ni hasara sana
 
Acha uongo wewe bwege kisa kipo wazi kabisaa..kimeanzia kwny ukuta baada ya wazayuni kutaka kufanya ukarabati kinguvu bila makubaliano,wkt kiimani wala hauwahusu hata nyie wagalatia kumbuka hilo eneo wanalikalia kinguvu baada ya vita Arab..ndo Hamas waka hamaki kwnd kushambulia
Lilikua jambo la kupanga tu kutoka kwa Israel yatokee haya yote..sasa iweje ukafanye ukarabati eneo ambalo si lako na duniani kote inajulikana hilo si eneo la Israel wanalikalia kimabavu
 
Ni mjuzi sana, Ayatollah angekuwa wa maana angetuma jeshi, aliwaingiza choo cha kike ili wapalestina wafe
Ayatollah hakuwatuma Hamas kufanya ule utekaji na mauaji ila ni wao wenyewe.
 
Ukifa ukiwa mkiristo ni hasara sana
Prove it or shut up you dirt mouth..

Be careful unapojibu maana according to Quran Uyahudi na Ukristo umeanzishwa na Allah.. so ujue unapingana na Allah..

According to Mohamed anasema Jews, Christians and Sabian wakiamini wataenda Peponi
 
Watu wanapigania uhuru wa nchi yao weee unaleta habari za kusutana huku.
wee unachekesha!;
Nenda na ww ukawasaidie!
Hata muham mad aka allah alisema
👇👇
Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)
 
Ukifa ukiwa mkiristo ni hasara sana
Kama hii ni faida Kwa nenda kafaidike dogo MAANA wahenga walisema Ashki majunun
👇👇
Kataa Kwa Ushahidi huu kama hutafika jehannam!
Hivi allah anaposema Waislamu woote wataenda jehannam unaona anafanya maskhara eeh
👇👇
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuipata. Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)

Kama unabisha Allah Maskani yake sio jehannam Tuwekee Ushahidi Aliutoa mguu wake jehannam!🎤

allah Hana Maskhara na mtoto wa Mtu! Alimuua muhammad Kwa kumkata mshipa mkuu wa Moyo baada ya kuzua zua uongo!
👇👇
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ

(AL - H'AAQQAH - 44)
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,

لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ

(AL - H'AAQQAH - 45)
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ

(AL - H'AAQQAH - 46)
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ

(AL - H'AAQQAH - 47)
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

Kabaki analia Lia!
👇👇
Sahih al-Bukhari 4428
Imepokewa kutoka kwa Aisha:

Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika maradhi yake aliyofariki, alikuwa akisema: “Ewe Aisha! Bado nahisi maumivu ya chakula nilichokula pale Khaibar, na wakati huu nahisi kana kwamba mshipa wangu wa moyo unakatika. kutokana na sumu hiyo."

وَقَالَ يُونُسُ عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ عُرْوَةُ قَالَتْ عَائِشَةُ ـ رضى الله عنها ـ كَانَ النَّبِيُ َّ لُمْ ِي فَلَّ لَ يَا سَلَّعْ فَلَى ضِهِ الَّذِي مَاتَ فِيهِ ‏ "‏ يَا عَائِشَةُ مَا أَزَالُ أَجِدُ أَلَمَ الطَّعَامِ الَّذِي أَكَلِشَةُ بِخَتَفَّتُ تَبَّعَمِ الَّذِي انْقِطَاعَ أَبْهَرِي مِنْ ذَلِكَ السَّمِّ ‏" ‏
Rejea : Sahih al-Bukhari 4428
Rejeleo la ndani ya kitabu : Kitabu cha 64, Hadith 450
 
Acha kusoma nakala za wenzio wazushi Sunna ni mawaidha ndani ya Quran..yanii hakuna sehemu Quran inayosema ivo
Lazima uelewe uislam hauna kiongozi wa dunia kiasi kila siku matamko hayaishi ya kuonana na Yesu na sijui wapo wale waliosema mwaka 2000 mwsh wa dunia kipindi kile cha miaka ya 80-90..haya mnakuja na tamko mara Biblia imepitwa na wkt mnachotaka vizazi vijavyo vije visome Biblia ya karne ya 20 ili iwe rahisi kwa agenda yao ya ushoga kwa vizazi vijavyo vijue kufirana ilikua halali karne ya 20 wkt huo mie na wewe hatupo ujue
 
Acha kusoma nakala za wenzio wazushi Sunna ni mawaidha ndani ya Quran..yanii hakuna sehemu Quran inayosema ivo
Lazima uelewe uislam hauna kiongozi wa dunia kiasi kila siku matamko hayaishi ya kuonana na Yesu na sijui wapo wale waliosema mwaka 2000 mwsh wa dunia kipindi kile cha miaka ya 80-90..haya mnakuja na tamko mara Biblia imepitwa na wkt mnachotaka vizazi vijavyo vije visome Biblia ya karne ya 20 ili iwe rahisi kwa agenda yao ya ushoga kwa vizazi vijavyo vijue kufirana ilikua halali karne ya 20 wkt huo mie na wewe hatupo ujue
Ni miratul Rasul dogo....
mchezo wa kisilamu
 
"Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa"

Kumsifia mtu na huku anateseka? Mbona inasikitisha Sana duh
Ulishawahi kumbikiri binti? Na kama bado,sikushangai kwa hii comment yako. Wenzio wakifa wanaenda kuji sevia tu huko peponi. Nikupigana miti tu day and night
 
Back
Top Bottom