Kama hii ni faida Kwa nenda kafaidike dogo MAANA wahenga walisema Ashki majunun
👇👇
Kataa Kwa Ushahidi huu kama hutafika jehannam!
Hivi allah anaposema Waislamu woote wataenda jehannam unaona anafanya maskhara eeh
👇👇
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا
[ MARYAM - 71]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuipata. Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)
Sahih al-Bukhari 4848
Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)
Kama unabisha Allah Maskani yake sio jehannam Tuwekee Ushahidi Aliutoa mguu wake jehannam!🎤
allah Hana Maskhara na mtoto wa Mtu! Alimuua muhammad Kwa kumkata mshipa mkuu wa Moyo baada ya kuzua zua uongo!
👇👇
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
(AL - H'AAQQAH - 44)
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
(AL - H'AAQQAH - 45)
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
(AL - H'AAQQAH - 46)
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
(AL - H'AAQQAH - 47)
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
Kabaki analia Lia!
👇👇
Sahih al-Bukhari 4428
Imepokewa kutoka kwa Aisha:
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika maradhi yake aliyofariki, alikuwa akisema: “Ewe Aisha! Bado nahisi maumivu ya chakula nilichokula pale Khaibar, na wakati huu nahisi kana kwamba mshipa wangu wa moyo unakatika. kutokana na sumu hiyo."
وَقَالَ يُونُسُ عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ عُرْوَةُ قَالَتْ عَائِشَةُ ـ رضى الله عنها ـ كَانَ النَّبِيُ َّ لُمْ ِي فَلَّ لَ يَا سَلَّعْ فَلَى ضِهِ الَّذِي مَاتَ فِيهِ " يَا عَائِشَةُ مَا أَزَالُ أَجِدُ أَلَمَ الطَّعَامِ الَّذِي أَكَلِشَةُ بِخَتَفَّتُ تَبَّعَمِ الَّذِي انْقِطَاعَ أَبْهَرِي مِنْ ذَلِكَ السَّمِّ "
Rejea : Sahih al-Bukhari 4428
Rejeleo la ndani ya kitabu : Kitabu cha 64, Hadith 450