Rais wa Palestina amsuta kiongozi wa dini wa Iran kuhusu vifo vya Wapalestina

Rais wa Palestina amsuta kiongozi wa dini wa Iran kuhusu vifo vya Wapalestina

wee unachekesha!;
Nenda na ww ukawasaidie!
Hata muham mad aka allah alisema
👇👇
Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)
Nakushauri uache kutumia hicho kinywaji unachokunywa au kuvuta.
 
Kama hii ni faida Kwa nenda kafaidike dogo MAANA wahenga walisema Ashki majunun
👇👇
Kataa Kwa Ushahidi huu kama hutafika jehannam!
Hivi allah anaposema Waislamu woote wataenda jehannam unaona anafanya maskhara eeh
👇👇
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuipata. Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)

Kama unabisha Allah Maskani yake sio jehannam Tuwekee Ushahidi Aliutoa mguu wake jehannam!🎤

allah Hana Maskhara na mtoto wa Mtu! Alimuua muhammad Kwa kumkata mshipa mkuu wa Moyo baada ya kuzua zua uongo!
👇👇
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ

(AL - H'AAQQAH - 44)
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,

لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ

(AL - H'AAQQAH - 45)
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ

(AL - H'AAQQAH - 46)
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ

(AL - H'AAQQAH - 47)
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

Kabaki analia Lia!
👇👇
Sahih al-Bukhari 4428
Imepokewa kutoka kwa Aisha:

Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika maradhi yake aliyofariki, alikuwa akisema: “Ewe Aisha! Bado nahisi maumivu ya chakula nilichokula pale Khaibar, na wakati huu nahisi kana kwamba mshipa wangu wa moyo unakatika. kutokana na sumu hiyo."

وَقَالَ يُونُسُ عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ عُرْوَةُ قَالَتْ عَائِشَةُ ـ رضى الله عنها ـ كَانَ النَّبِيُ َّ لُمْ ِي فَلَّ لَ يَا سَلَّعْ فَلَى ضِهِ الَّذِي مَاتَ فِيهِ ‏ "‏ يَا عَائِشَةُ مَا أَزَالُ أَجِدُ أَلَمَ الطَّعَامِ الَّذِي أَكَلِشَةُ بِخَتَفَّتُ تَبَّعَمِ الَّذِي انْقِطَاعَ أَبْهَرِي مِنْ ذَلِكَ السَّمِّ ‏" ‏
Rejea : Sahih al-Bukhari 4428
Rejeleo la ndani ya kitabu : Kitabu cha 64, Hadith 450
Si Hadithi hizi tuu ulizoainisha za uzushi zipo nyng mnoo na haujanza wewe huu uzushi tokea mtume yupo hai na mpk amefariki..
Quran haijipingi kama Bible na haibadiriki na haotokuja kubadilika na inajilinda na itajilinda na haithiriki na mazingira wala teknolojia zipo Quran za uzushi..umeweka porojo zako..nakusisitiza tena QURAN HAIJIPINGI...cha msingi umeshakula sakramenti umeshakua kondoo wa Yesu hata ukiwa Shoga it's OK utapokelewa vzr tuu
 
Sasa wewe ushakula sakramenti upo kwa Yesu chaguo ni lako uwe Shoga..Yesu atakupokea huo ndo uzuri wa sakramenti hata uliwe kiboga vipi wewe ni wa Yesu tuu
 
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao.
============================

Palestinian President Mahmoud Abbas has issued a sharp response to Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who lauded Hamas's October 7 attacks on Israel.

In a statement, Mr Abbas said the Palestinian people are the ones who have paid the price of Israel's war on Gaza, which it launched in retaliation for the attacks in October.

"They are the first to be affected by this war [on Gaza], which has shed their blood and which has resulted in the death of more than 36,000 martyrs, and wounded 83,000 others, as well as the destruction of infrastructure as hospitals, schools, mosques, churches and the displacement of thousands of citizens and extermination of hundreds of families," he said.

Poleni brazaj
Yaani anawasifia wapalestina wanauawa kama kuku huku nchi yao ya gaza inageuzwa vifusi ila yeye ayatollah amejificha ndani na shuka lake huko Teherani na familia yake ipo salama wapalestina wawe makini kuendelea kutumika kijinga
 
Watu wanapigania uhuru wa nchi yao weee unaleta habari za kusutana huku.
Wanapigaje kwa kubaka wanawake wa kiyahudi, kwa kuchoma moto watoto wa kiyahudi, kwa kuteka bibi wazee, wanawake na watoto kwanza hamas wanapigania nchi gani wakati hapajawahi kuwepo na taifa la palestina
 
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao...
Daaah
 
Kama hii ni faida Kwa nenda kafaidike dogo MAANA wahenga walisema Ashki majunun
👇👇
Kataa Kwa Ushahidi huu kama hutafika jehannam!
Hivi allah anaposema Waislamu woote wataenda jehannam unaona anafanya maskhara eeh
👇👇
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuipata. Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Jee Kuna ziada na ije! (Quran.50.30) mpaka Allah atakapoweka Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati! Qati! (Yatosha!)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)

Kama unabisha Allah Maskani yake sio jehannam Tuwekee Ushahidi Aliutoa mguu wake jehannam!🎤

allah Hana Maskhara na mtoto wa Mtu! Alimuua muhammad Kwa kumkata mshipa mkuu wa Moyo baada ya kuzua zua uongo!
👇👇
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ

(AL - H'AAQQAH - 44)
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,

لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ

(AL - H'AAQQAH - 45)
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ

(AL - H'AAQQAH - 46)
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ

(AL - H'AAQQAH - 47)
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.

Kabaki analia Lia!
👇👇
Sahih al-Bukhari 4428
Imepokewa kutoka kwa Aisha:

Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika maradhi yake aliyofariki, alikuwa akisema: “Ewe Aisha! Bado nahisi maumivu ya chakula nilichokula pale Khaibar, na wakati huu nahisi kana kwamba mshipa wangu wa moyo unakatika. kutokana na sumu hiyo."

وَقَالَ يُونُسُ عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ عُرْوَةُ قَالَتْ عَائِشَةُ ـ رضى الله عنها ـ كَانَ النَّبِيُ َّ لُمْ ِي فَلَّ لَ يَا سَلَّعْ فَلَى ضِهِ الَّذِي مَاتَ فِيهِ ‏ "‏ يَا عَائِشَةُ مَا أَزَالُ أَجِدُ أَلَمَ الطَّعَامِ الَّذِي أَكَلِشَةُ بِخَتَفَّتُ تَبَّعَمِ الَّذِي انْقِطَاعَ أَبْهَرِي مِنْ ذَلِكَ السَّمِّ ‏" ‏
Rejea : Sahih al-Bukhari 4428
Rejeleo la ndani ya kitabu : Kitabu cha 64, Hadith 450
Ukishakuwa mkiristo basi unatatizo la ufahamu ktk maswala ya dini
 
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa 36,000 na 83,000 kujeruhuwa kwenye vita ambavyo havina umuhimu kwao.
============================

Palestinian President Mahmoud Abbas has issued a sharp response to Iran's supreme leader Ayatollah Ali Khamenei, who lauded Hamas's October 7 attacks on Israel.

In a statement, Mr Abbas said the Palestinian people are the ones who have paid the price of Israel's war on Gaza, which it launched in retaliation for the attacks in October.

"They are the first to be affected by this war [on Gaza], which has shed their blood and which has resulted in the death of more than 36,000 martyrs, and wounded 83,000 others, as well as the destruction of infrastructure as hospitals, schools, mosques, churches and the displacement of thousands of citizens and extermination of hundreds of families," he said.

Poleni brazaj
Hukuchagua isipokuwa msenge mwenzako huyo Abbas nani anaye mtaka, hakuna hata Mpalestine anamtaka huyo nikibaraka wa America hana faida hata siku moja na wapalestina, tena watu wa Gaza ndio hawamtaki hata kumsikia.

Bora afunge domo lake tu.
 
Ukifa ukiwa mkiristo ni hasara sana
13 Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
Ufunuo wa Yohana 14:13
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:6
 
"Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa"

Kumsifia mtu na huku anateseka? Mbona inasikitisha Sana duh
Inashangaza yeye haoneshi mfano kujitoa Mhanga.
 
Wanapigaje kwa kubaka wanawake wa kiyahudi, kwa kuchoma moto watoto wa kiyahudi, kwa kuteka bibi wazee, wanawake na watoto kwanza hamas wanapigania nchi gani wakati hapajawahi kuwepo na taifa la palestina
Wakati sahihi ukifika utajua tu wanapigania nini.
 
Back
Top Bottom