Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
😉😉Najinywea tu tubia twa baridi
😂 😂 😂Stress gani tena mkuu?
Hahhajaja daudi unanimaliza mie huku🤣🤣🤣Wajane wote wenye masononeko mnatakiwa kupokonywa simu hadi mmalize Eda.
Na wewe umejuaje kama ningeshindwa, au labda ningeweza kufanya makubwa kuliko yeye?Ndugu yangu. Elewa kwamba akili ziko tofauti. Kiufupi kila mtu ana kalama yake.
Usione vile unajua kuandika na kusoma ukazani wewe ungepewa nchi ungefanya haya yaliyo fanywa na JPM.
Aisee. Acha hizo. Mimi ni mtu huru kila eneo.wewe huwezi juta maana majuto uliyo nayo kuhusu maisha yako ni kisanga tosha.
hata enzi za jk watu walifanya kwa uelekeo wa boss,ujinga ulikuwa ni kudhani magufuli ni jk.
ndio hapo mkaishia kuliwa na rushwa.
Huwezi kuwa mtu huru ukapingana na aliyoyafanya Magufuli.Aisee. Acha hizo. Mimi ni mtu huru kila eneo.
Nani Kasema ninapinga yale mazuri aliyofanya? Ni malaika yule na sasa anaongoza jeshi la malaika huko mbinguni na atakutana huko na watanzania pia kama kina Ben na wengine wote katika orodha yote ijulikanayo na usiyojulikana.huwezi kuwa mtu huru ukapingana na aliyoyafanya magufuli.
maana hakufurahisha ccm wala chadema.
Tunaongelea tulivyoviona. Vya ndotoni tusubiri.Na wewe umejuaje kama ningeshindwa, au labda ningeweza kufanya makubwa kuliko yeye?
1.Aliwasema mabeberu waziwazi.
2. Mabeberu hawakumjibu.
3.Alizungumzia sana juu ya kifo chake.
4.Aliwaambia watanzania wamuombee Vita ya kiuchumi ni mbaya zaidi je alihisi maadui wa sera zake wanamtafuta?
5.kama haitoshi katibu wake anafariki na yeye anafwata mwezi mmoja baadae.
Inafikirisha Sana.
Hichi kitu kimeingilia Tunduma kutoka SouthCorona part two ni hatari sana
Inashangaza kweli raisi alikuwa mwanasayansi media asiyeamini kwenye sayansi???? Africa bado safari ni mrefu sanaHichi kitu kimeingilia Tunduma kutoka South