Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Kaanza yeye nikamaliziaMbona unamtolea mapovu mwenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaanza yeye nikamaliziaMbona unamtolea mapovu mwenzako
Inashangaza kweli raisi alikuwa mwanasayansi media asiyeamini kwenye sayansi???? Africa bado safari ni mrefu sana
Wewe ni msukuma nini?
Tunduma iyo ya wapi nduguHichi kitu kimeingilia Tunduma kutoka South
Jibu swali kisha ndio uulize swali. Ustaarabu mtajifunza lini!?Ulitakaje labda?
Upumbavu huua🤣🤣Kafa kwa ujinga wake
Hapajawahi kuwa na Vita ya Kiuchumi kati ya Tz na nchi yoyote ile.
Magufuli kuidharau Corona na kuona watu wake wa karibu wanapukutika yeye akaamua kuvua nguo kabisa na kujitosa kwenye hilo dimbwi. Ilikuwa ni suala la muda tu! Ilikuwa ni sawa na kuangalia pambano la Cheka na Joshua halafu utegemee muujiza1.Aliwasema mabeberu waziwazi.
2. Mabeberu hawakumjibu.
3.Alizungumzia sana juu ya kifo chake.
4.Aliwaambia watanzania wamuombee Vita ya kiuchumi ni mbaya zaidi je alihisi maadui wa sera zake wanamtafuta?
5.kama haitoshi katibu wake anafariki na yeye anafwata mwezi mmoja baadae.
Inafikirisha Sana.
Umeandika kisukuma kitupuRais wangu, furaha yangu, msitakabali wa maisha yangu vyote vimepotea😫😥😪😭😭😭
hii watafuta, na hii comment yangu watafuta piaDikteta alituumiza sana Watumishi wa Umma.
Miaka 6 hakuna nyongeza ya mshahara wala kupanda madaraja.
Ukiona adui anakutafuta, unachukua tahadhari. Adui ambaye ni korona yeye alimdharau na hakujikinga kabisa wakati ana matatizo ya moyo ambayo ukipata virusi vya korona tu, ww ni byebye. Na watu waliomzunguka walikuwa wanaondoka tu. Tusiandike upuuzi, kifo chake amekileta mwenyewe FULL STOP1.Aliwasema mabeberu waziwazi.
2. Mabeberu hawakumjibu.
3.Alizungumzia sana juu ya kifo chake.
4.Aliwaambia watanzania wamuombee Vita ya kiuchumi ni mbaya zaidi je alihisi maadui wa sera zake wanamtafuta?
5.kama haitoshi katibu wake anafariki na yeye anafwata mwezi mmoja baadae.
Inafikirisha Sana.
"Professor Kabuni ni zao la utafiti kwamba elimu bila akili,ni sawa na choo bila mlango." _Godbless Lema.Kusoma kwa 'kumeza vitu' vizimavizima inadidimiza elimu Tanzania, huyo ni mfano tu mmojawapo!
hii watafuta, na hii comment yangu watafuta pia
inatakiwa usifu,Kwamba nimeandika uongo?
hii watafuta, na hii comment yangu watafuta pia