TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Poleni Watanzania, Mungu atusaidie katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza kiongozi wetu. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe milele [emoji174][emoji174][emoji24][emoji24]
 
Dahh hatimaye Dar iliyompa urais ndiyo sehemu pia aliyokuja kuuachia.

Mungu atujalie Watanzania moyo wa faraja na ustahimilivu ktk hili.

Hata wale wasiomkubali wawe wapole ktk wakati huu.

Mtu asije pigwa shoka.
 
Muda sio mrefu uliopita, mama SAMIA, ametoka kutangaza kuwa Rais wetu ametuacha kwa maana amefariki dunia.... lakini baada ya kurudia matangazo hayo, mnaweka nyimbo ya tumeuona mkono wake Bwana kwa sehemu yangu nimeshidwa kuelewa maana nillitegemea baada ya matangazo ya msiba wimbo wa kwanza ungekuwa ni wa kufungua maombolezo kama ilivyelekezwa na selikari
mimi nimeuliza tu kuwa mnamaana gani na sio zaidi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…