Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hafai kabisa amesababisha waombaji ku miss targetMajaliwa ni muongo mkubwa sana na hii Serikali yote, “Rais yuko busy anapitia mafaili yake mnataka mmuone akizurura Kariakoo au Magomeni.”
Hata uvae mask toka kichwani mpaka kwenye unyayo death is inevitable.Waliokuwa wanamuiga kutokuvaa mask. Jamani akili mkichwa.
Kwa kweli hata mimi nimeshindwa kuelewa huyu DJ aliyepo TBC mweee!!![emoji24]Kinachoendelea TBC .....Mungu tusaidie tuvuke salama [emoji2969]
tusahau yalipita tujenge Taifa chin ya Mama Samiha SuluhuKwa hili viongozi wamedharaulika sana hasa PM yaani sijui lengo lao lilikuwa nini?
Mkuu unanionea tu bure. Kwani hakutamka hayo maneno. Samia tusaidie please kujua Bensaa8 yuko wapi? Ukifanya hivyo utatusaidia mioyo yetuUwe na adabu, ni hayo tuu