TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
hamuwezii cha kutaja hili jina la mume wenu
Watu wanaoichukia ccm wanaish maisha ya tabu snaa.na wataish maisha hayo mpaka hii nchi inaingia kaburini.sabab ccm kutoka madarakan ni ndoto ...kwahyo komaen hvyo hvyo na chuki za kimaskin...ila lisu hawi rais ngooooo
 
Kama Ruge na Mengi walivuta Nyomi hivi hawa CCM walitegemea nini kwa Rais wa nchi. Au hawakutegemea haya baada ya yale yaliyoendelea kwenye uchaguzi .... Watanzania wanahuruma sana na wana hofu ya Mungu!!
[emoji106][emoji106][emoji106]
 
Hats sisi mtaani kwetu kibaka tumjuae akifariki tunajaa nyumbani kwake hata kama aliwahi kukuibia, huwa hatususi maiti.
 
Ni kweli kuna mkakati wa siri. Huwezi kutesa marehemu na wafiwa kwa kumtembeza marehemu kwa siku tano!

Hawa watu ni waovu. Wanaajenda wanayotaka kuachieve kupitia tukio hili. Which is unethical!
 
Watu wanaoichukia ccm wanaish maisha ya tabu snaa.na wataish maisha hayo mpaka hii nchi inaingia kaburini.sabab ccm kutoka madarakan ni ndoto ...kwahyo komaen hvyo hvyo na chuki za kimaskin...ila lisu hawi rais ngooooo
Chuki za Kimaskini, wewe una utajiri gani ndugu yangu muda huu upo huku unaandika vijembe, sio kila anayekosoa kitu ana roho ya Kimaskini au ni mfuasi wa Lissu na CDM, watu wanashauri maana haileti picha nzuri, JPM alikuwa ni Rais wa TZ.
 
Wala hawezi kuviachia hivyo alivyoshika!! Hii ni movie ya kibongo, jambazi anavamia nyumba ya mtu afu anavua viatu.😀😇
 
Ni kweli kuna mkakati wa siri. Huwezi kutesa marehemu na wafiwa kwa kumtembeza marehemu kwa siku tano!

Hawa watu ni waovu. Wanaajenda wanayotaka kuachieve kupitia tukio hili. Which is unethical!

Mke wa Marehemu anaonekana kuwa na huzuni na hasira muda wote ; hawa ni watu ambao baada ya mume wake kufariki walimzungushaa kwa wiki nzima kumpa habari rasmi yeye ; na Rais Samia ( eti wanawake wakijua habari itavuja kafa 😉 wakitumia muda huo kupanga “mapinduzi baridi “ yakashindikana sasa wanatenegeneza “vuguvugu la wanyonge kufiwa” ili iwe njia yao ya kupitia ; Msiba unatumika kisiasa sio kwa manufaaa ya CCM bali kwa manufaaa ya kundi ovu
 
Watu wanaoichukia ccm wanaish maisha ya tabu snaa.na wataish maisha hayo mpaka hii nchi inaingia kaburini.sabab ccm kutoka madarakan ni ndoto ...kwahyo komaen hvyo hvyo na chuki za kimaskin...ila lisu hawi rais ngooooo
Hoja ya mtoa mada ya Lissu kuwa Rais wapi na wapi? Taga unachekesha sana.
Mitano tena
 
Politics over a dead body. "maiti inapelekwa ilipo nyomi". Hata hivyo kuna sababu kubwa mbili kwa nyomi tunayoiona:
1: Kuna watu waliokuwa wanampenda na wamesikitishwa na kifo chake.
2: Kuna watu walioumizwa naye na wanataka kuhakikisha kweli kafa.
 
Politics over a dead body. "maiti inapelekwa ilipo nyomi". Hata hivyo kuna sababu kubwa mbili kwa nyomi tunayoiona:
1: Kuna watu waliokuwa wanampenda na wamesikitishwa na kifo chake.
2: Kuna watu walioumizwa naye na wanataka kuhakikisha kweli kafa.
Umenena
 
Unabana bajeti miaka 6 wakati unajua familia zinaongezeka.
Itoshe kusema Magufoool alikuwa kichaa na mgonjwa.
Sheria ipi inamtaka abane bajeti kupitia mishahara ya watumishi.
Mkuu hata katika familia yako nadhani unabana bajeti ili kufanikisha jambo fulani la kimaendeleo, unataka starehe wakati unajua uwezo wako ni wa mlo mmoja embu tuache mawazo finyu watz
 
Yaani unataka mama Samia asitumie remote kutoka Msoga halafu hapo hapo unataka atumie remote kutoka Chato!
Hivi wewe una akili sawa sawa kweli?

Sisi watanzania wenye akili timamu tunataka mama Samia afuate katiba tu (hiyo ndio remote control ya watanzania), akatende haki na usawa. Asimpendelee mtu wala asimuonee mtu yoyote.
 
ukisikia mtu mzima kuingizwa chaka makusudi au bahati mbaya ndio hiii
kama TBC
ahaaaa yaani 2/3 ya dunia walifuatiliaa
Halafu walipotoa details ni kwa mtu alie na followers600 hajathibitishwa kwenye utaftaji takwimu wa aina yoyote na hana taasis iliyosajiliwa hii nchi bhana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…