TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Hivi nyie Mods hamwezi kuuficha huu uzi sasa? Imetosha maana tayari tumeshamfukia!
 
Samia Suluhu akiwa kama Rais ajae, ana uwezo wa kuturudisha kwenye nchi ya maziwa na asali au kuendeleza ubabe wa toka 2015.

Afufue uchumi uliosinyaa na kuleta sera nzuri zenye kuleta ustawi na mshikamano wa taifa letu. Palipo vunjika aunganishe, walioumizwa wapewe faraja.

Pia tusidhihaki wapakwa mafuta.

JPM apumzike anapostahili.
Naona anafanyia kazi maneno yako mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom