TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Waswahili wanasema mnafiki hana sababu, yaani watu mnaonea chuki na wivu hadi msiba!? Mnahitaji maombezi kwa kweli maana ....
Halafu sisi watu wazima mjue, mambo mengine ni laana hamjui???? Unakua na chuki na maombolezo!?
Sad!

Wacha tumlilie rais wa Watanzania
View attachment 1732407

View attachment 1732408
Ukiacha umalaya tutajua uu mkweli. Unakwenda kugongwa huko unalia tu kimahaba ila kimoyo unataka jamaa amalize haraka ili asikusumbue. Ninyi malaya mna kazi sana kuwaelewa
 
Ukiacha umalaya tutajua uu mkweli. Unakwenda kugongwa huko unalia tu kimahaba ila kimoyo unataka jamaa amalize haraka ili asikusumbue. Ninyi malaya mna kazi sana kuwaelewa

Nikuulize hivi wewe ni wakike au mwanamke?
Ulichoandika hapa usisahau kurudi kukisoma ukikua mkubwa
 
Aseee ndo maana mama kapata mshtuko wa moyo si kwa comment hizi[emoji848]
 
Kila nikisoma huu uzi naumia sana.

Hayati JPM ameniachia donda moyoni.
Miebkila nikiwakumbuka Been Sanane na Alphonce Mawazo naingiwa na hofu kubwa Sana
Kwanza Mwawazo alikatwa na kitu kikali chini ya Kigogo,
Pili Ben haijulikani Kama alikua na alikufa kifo cha aina gani.
Mungu warehemu Hawa vijana wawili.
Lakini pia nawazaga Kama Lisu angekufa Masikini sijui ingekuaje!

Eeh Mungu naomba uwape adhabu Kali kabisa wote waliohusika na Mateso ya vijana wako Hawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom