TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Uyo dikteta hakuna mwenye akili timamu akamkumbuka kwa lolote,Zaid ya uovu tu
 
Ya hazina kuchotwa nakubaliana nayo, ila nyingine zinanukia usukuma gan'g
 


Mtapiga kelele sana!!

Mbona hujamkumbusha kwamba wasiojulikana siku hizi hawapo tena, vyombo vya habari vipo huru, wafanyabiashara wameanza kurudi nk, ??!!
 
Kwani Uamsho aliwafunga yeye?
 
Rafiki yako wa kweli ndugu Palamagamba yupo na toka umuache hana tena furaha na amekuwa kimya hadi inaogopesha pengine anataka awe 'Mhehe!'
umemsahau BASHIRU ALLY KAKURWA mkuu, yule muda wote ANASONONEKA, kweli dunia haina huruma.
 
Magufuli ni binadamu aliyewahi kutawala Tanzania akiwa mpumbavu sana. Rudia neno mpumbavu.
Huyu aliamini kwenye personality yake badala ya sheria.
Mtu badala ya taasisi. Leo yapo wapi?
Mmebaki mnabwabwaja tuuuu. Pumbavu
Bila shaka ww nae ni mpumbavuu mzurii tuu..hao walioamn katika sheria na taasisi wamefanya nn cha maana tz? Zaid ya kuzifanya familia zao ziwe genge la kuuzia madawa ya kulevyaaa..jinga kabisaa hii nyani nyeusii
 
Tahadhari...Ukisoma ujinga kama huu mara kadhaa IQ zako zinashuka! Ukiubeba kichwani ndo balaa kabisa!! "Beware of fools"
 
Reactions: Qwy
With all due respect, nimeanza kuwaona mateja mitaani.
Madawa ya kulevya yameqnza kurudi mitaani ndio maana yake.
 
Wanufaida wa utawala wa mwendazake dikteta Hamnazo inaonekana mirija yao ya 'umumiani' imekatwa na maisha hayawaendei sawa, extortion na ujambazi wa aina mbali mbali uliokuwa ukufanywa na wateule wa Hamnazo na kitengo maalum ndani ya idara yetu 'nyeti' ile kitonga iliyowaneemesha haipo tena.
Tumerudi kwenye 'fanya kazi kwa bidii, akili na maarifa' ili mambo yako yaende sawa.
 
Tupo vifua mbele kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…