Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mikono inatetemeka! Rais wetu jamani! Uuiiii
Wapi, acha unafiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikono inatetemeka! Rais wetu jamani! Uuiiii
Pole,Uwiiiiiiii jamanii
Mimi niko tayari kumpiga Lisu mawe akisema anarudisha pua yake kuja kugombea tena
Huamini we ulijua atapaa kama yesu?Siamini kwa kweli
TBC wanapiga nyimbo za maombolezo ila wengine wamekausha.Hakuna hata chombo kimoja cha Habari cha ndani kinacho tangaza hizi taarifa aisee!!!
Alikuwa anajaribu kulazimisha mitano mingine tena kwa kumdhulumu mhanga wake!? Unategemea nini?Comrade kaacha alama miaka mitano ya nguvu ,uthubutu ,mabadiliko ikibidi mafisadi na mabeberu kuumia .rest easy Ngosha Tanzania itakukumbuka
😁😁😁😁😁😁😁Mimi niko tayari kumpiga Lisu mawe akisema anarudisha pua yake kuja kugombea tena
Naona unateseka sana mkuu.Siwezi kuwa mnafiki kamwe....
Na si ukubali unafki,
Asa mtu ambaye jana kafungua uzi akichagiza kamanda aende afu saiv apa anajitia anatia maneno ya Faraja na yote.
Rais hawezi fariki leo na kutangazwa leo. Yamkini kafariki toka fen 27.
So umefurahi?Mitano ndugu watu hali mbaya mbaya ya maisha watu wameteseka sana sana hujakutana na watu waloomizwa na utawala huuu.
Hapa napoishi kuna MATAGA mmoja kaja kuniamsha analia hadi makamasi yanii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa acha kuchekesha watu msibani basi