Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Cha msingi watu wakipata nafasi wasinyanyue mabega kuna leo na kesho.This's sad news indeed...
Naionea huruma Tanzania kwa kweli, days of darkness ahead if we ain't gonna stand together...
TBC mubashara Mama Samia mwenyewe kazungumza. Ila now nasikia hamna kitu inaonekana huko si TBC wala ITVHakuna hata chombo kimoja cha Habari cha ndani kinacho tangaza hizi taarifa aisee!!!
Nilikua nawaza kama wewe nikahisi ni kwa vile labda sijala weed muda mrefuWameamua Rais wangu ili tu wapate uhalal wa kuttuuzia chanjo inayo gandisha dam
Mpaka natetemeka, nimepata uoga ambao sio wa kawaida.
Hospitali ya TISS ni kubwa na ya kisasa kabisa.Hospitali ya Mzena ipo kichochoro kipi?
Hata misiba yetu tu ya kawaida( kwenye familia uwa ikishatokea pale hospital mostly uwa tunastuck kwa masaa kadhaa kutafuta namna ya kuwapa taarifa waliopo nyumbani.
Katiba iko wazi kabisa, Mama Samia anaongoza mpaka miaka hii minne iliyobaki iishe. Watatkiwa kuchagua mtu mmoja kutoka kwenye chama chake awe Makamu wa Rais. Na yeye ataapishwa kuwa Rais! Namwomba amchague January Makamba (sijui Wakristo watapiga kelele) awe Makamu wa Rais! Hakika kufa kufaana!