Nmeona watu wakipost RIP shujaa wetu, pumzka kwa amani Magufuli rais wetu!
hivi ni kweli au naota?
Yes na mchukue tahadhari za kisayansi dhidi ya korona.Vicky my dear muda huu si wa kujadili hayo, just simply say R.I.P JPM.
Acha upunguwan inafika wakati sifa za mwenyezi Mungu mnampatia binaadam....Anayekupa chakula, maji, nguvu, uhai n.k sio Magufuli wala sio ccm
Ni kheri uwe mjinga kwa kunyamaza kuliko kusema ujinga wako kila mtu auone
Hakuna aliyekamilika duniani, vp ww utaiona pepo.?
Inawezekana ww una dhambi kumzidi marehemu lakini hakuna atakayekuhukumu zaidi ya Mungu
Haahaa asahau...Majaliwa ndo Rais ajae baada ya SAMIA.
Huu ni muda wa kujitafakari mlipishana wapi na kwanini!Najua, huu ni msiba mkubwa sana kwangu. Ni hawa watoto wa nje wa baba wanaleta chokochoko.
Yaani hata sijui nafanyaje usiku huu asee
Wap nimempa mwanadamu sifa za Mungu, nasubiri unambie.Acha upunguwan inafika wakati sifa za mwenyezi Mungu mnampatia binaadam....
Lugha ya kiutu uzima hiyo.Kwani corona ndo sababu?
rekebisha hapo ni 2021 mkuu sio 2020 au ulikuwa na maana ya mwaka jana??Kuna Mambo hamjui ni 9/03/2020
Ndo tarehe
So sad.Mkuu kuna taarifa mkewe pia anaumwa lakini hawasemi anaumwa nini. Si ajabu ni hiyo hiyo COVID-19.
Sasa kama ulifukizwa kwa sababu hukuwa na vigezo hapo umeonewa.?
Nakazia [emoji419][emoji419]Sasa wale waliokamatwa kukusema ni mgonjwa waachiwe huru haraka sana.
YeahNi binadamu; asingeweza kuwa perfect.
He did his best!
MHSRIP
Hata huo muda sina, time will tellHuu ni muda wa kujitafakari mlipishana wapi na kwanini!