Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Kawaida sana hy, mtoto kumzika mzaziHivi 2015 kuna mtu angewaza JPM angeondoka kabla ya Lowassa?
Maisha hayana formula....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sana hy, mtoto kumzika mzaziHivi 2015 kuna mtu angewaza JPM angeondoka kabla ya Lowassa?
Maisha hayana formula....
NadhaniIna maana hiyo Hospitali ya Mzena ina huduma nzuri kuliko Muhimbili jamani!
Wabongo Kwa unafiki utawaweza!.. hpo wanashangilia kimoyo moyo.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Basi namuombea heri Mama Samia aongoze kwa busara lakini pia awe strong atika maamuzi. Mambo ya mataifa mengine utuchukulia powa yasiwepo kabisa, tuheshimiane.Katiba iko wazi kabisa, Mama Samia anaongoza mpaka miaka hii minne iliyobaki iishe. Watatkiwa kuchagua mtu mmoja kutoka kwenye chama chake awe Makamu wa Rais. Na yeye ataapishwa kuwa Rais! Namwomba amchague January Makamba (sijui Wakristo watapiga kelele) awe Makamu wa Rais! Hakika kufa kufaana!
Yesu yupi unayeongelea?
Acha kupaniki kijana!Naona kabisa nchi yetu inaenda kutumbukia Shimoni zaidi ya ilivyokua kipindi cha JK
NAUMIA SANA SANA
Katiba ikiwa vizuri hakutakuwa na hofu tena.Naona kabisa nchi yetu inaenda kutumbukia Shimoni zaidi ya ilivyokua kipindi cha JK
NAUMIA SANA SANA
Kwa mgonjwa aliyekua hta kuongea dakka 5 hawezi Vs Aliyepiga push up kma zotee!!!Kawaida sana hy, mtoto kumzika mzazi