Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Mwendo ameumaliza Mheshimiwa Rais Magufuli...Tangulia baba...tutayaishi mazuri yako. R. I. P RAIS MAGUFULI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua bado miaka 4Vizuri Huwa havidumu. Mungu alitupa zawadi sasa ameichukua kazi pengine kazi aliyo pewa ameimaliza[emoji120][emoji120]
we umesikia wapi? tuliimbishwa "idd amini akifa mimi siwezi kulia, ntamtupa kagera awe chakula cha mamba"tulikua mashetani??Ni shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha mwanadamu!! Na watoto wa shetani pia wamerithi uovu huu wa kufurahia vifo vya wanadamu wenzao.
Labda kesi iwageukia wa kuwa na vyeti feki. Wenye vyeti feki wote watolewe tu wawekwe watu waliotumia mda wao kutafuta elimu.Wafanyakazi wliofukuzwa kwa vyeti feki nawashuri wajiorganiza wafungue kesi mahakamani kudai mafao yao, Mama samia ni mtu wa huruma atawasaidia maana kashapata somo kwamba mali,vyeo ni vya kupita.
Wachawi gani hao?utavuna ulichopanda kudadadekihuwezi amini bro hapa ndio utajua tunaishi na wachawi nchi moja.
💯%!Hakuna nilichojifunza. Hata baba yangu alikufa, mimi nitakufa na wote humu mtakufa. Na maisha yataendelea kwa watu wengine..kifo hakijawahi kuwa funzo kwa binadamu yoyote, tunasikitika now lkn baada ya muda tunaendelea kutenda yale yale.
So kwangu kifo hakina funzo lolote
Mnawasingizia tu, si alitibiwa nchini? Kawaida si anakuwa na ulinzi wake?Nahisi mkono wa mabeberu tu.
Hakuna atakaeishi milele.... Kazi ya Mungu haina makosa .. maisha lazima yaendelee mwanakwenda ameendaKaka ni sala nimemuombea sana tangu uvumi uanze nimeomba mno. Kwakweli ameniuma huyu sio rahisi tu, bali ni mtoto wa mtu. Ana mama tena mzee dah
Nadhani ishu ni wakati wako wa kuondoka ukifika basi hakuna kizuizi chochote kileKwa mgonjwa aliyekua hta kuongea dakka 5 hawezi Vs Aliyepiga push up kma zotee!!!
Kuna somo kubwa la kujifunza hapa
Duh! Mitano tena ndio mwisho kuusema huo usemiKoonya sio mchezo. Nani wa kulaumiwa kama sio Mchina?View attachment 1728445
Kabisa mkuu💯%!
Ni kama ulikuwa kichwani mwangu kwa asilimia zote nilizokupa hapo juu.
It doesn’t get any realer than the way you put it.
😂😂😂 Mkuu mm niko kwenye huzuni kubwa usinichekesheule uwekezaji wa kule chato ndo tumeshakula hasara!
Ndoto za Abunuasi hizi.Hakika, alifikia pazuri, haya pango la wanyanganyi wajichotee kama kawaida