Kama ni dhambi itakayo watafuna viongozi wengi, nikupuuza kubadili katiba huku mioyo ya watu ikiendelea kuumizwa!
Viongozi tutambue hizi Mali hapa duniani ni za kupita tu!
Tupendane tule wote pasipo kuumizana kwa sheria mbovu
Namna bora ya kumuenzi magufuli nikubadili katiba haraka ili hata tukija kupata Rais ng'ombe kila mtu anufaike na keki ya taifa pasipo kuumizana!
Ingependeza hata matisheti ya msibani yaongozwe na hashtag ya!
#Tumuenzi Magufuli na katiba mpya!
Ili kuendeleza Yale mazuri aliyokuwa akiyafanya! Na kuondoa mabaya kizazi hadi kizazi!!