TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Vizuri Huwa havidumu. Mungu alitupa zawadi sasa ameichukua kazi pengine kazi aliyo pewa ameimaliza[emoji120][emoji120]
Kazi yake iliisha mapema, ila ndio hivyo kujaribu bila ridhaa ya halaiki. Muumba naye anataka haki yake kupitia utukufu wake
 
MATAGA nimewaelewa, kweli leo Rais wenu ameongea na wananchi [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
 
Haijalishi ni mitihani gani unatupa ni hali gani tunayoipitia wewe ni Mungu utabaki kuwa Mungu ...wakati..ulitupigania tulikushukuru baki nasi uwepo wako.ukae.nasi tutie utulivu Mungu...pumzika kwa amani Baba yangu mzee wangu kipenzi changu Simba wa vita....hakuna aliye kamili watasema..yote lkn ulikuwa simba wa vita kwakweli.pumzika kwa amani.
 
Mataahira hayo, kujibizana nayo ni kupoteza muda tu, mtu kafariki, taarifa imetolewa, bado linalalama tu, kama zombie
Mkuu NINA HASIRA sana

Since huko nyuma Mtu yuko 24hr/7days yuko humu kumtukana na kumbomoa RAISI wetu mpendwa

Wamemuombea kifo Wamzushia kifo more than Once Leo hii MUNGU amemchukua (One of My Sons's legacy ) Lakini huyu mbwa analazimisha kafa kwa Corona

Shida yao ilikua RAIS wetu afe AU watangaze afe kutokanaa COVID 19 ? ?


Even his dead body didn't Accept Covid 19 That's My boy JPM
 
Kwahiyo unataka kusema mtu akifa kapewa adhabu na Mungu?
Mkuu, tutasema yote, Ila kifo hakiangalii, wanasema eti tujifunze...tunajifunza nini wakati kila siku tunafukiana tu? Au wenzetu wanadhani tukijifunza kuishi vizuri na watu ndio hatufi!

Kifo kiko pale pale whether tunajifunza au hatutaki kujifunza...ni adhabu kali humu duniani kuwahi kutokea, aliyeleta hii kitu sijui anajisikiaje...au nature mimi sijui, ila kifo ni bonge moja la adhabu.
 
Okay kuanzia leo hakuna qualifications kwenye ajira kuwe na uzoefu tuu, umefurahi.?

Huo ni mtizamo wako siwezi kukupinga ,kama Katelephone kadanganya mimi ni nani nisilete cheti cha kufoji? Kama wachina wamefoji hati ya NEMC wakisaidiwa na maofisa wa serikali,mimi ni nani? Hapa kazi tu... mi7 tena.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…