TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Why was the death announced in Tanga. She could have to Dodoma or dar and be flanked be othe top leaders like PM and chief of the army. That would show they are United. Where were the top leaders?
Who is chief of the army..?
 
ALIE SEMA UONGO ALIE SEMA UONGO tupo hapa! Hii sasa kuna watumishi wa mungu wanakufuru kwa sababu ya uongo wa watu wachache MLIFANYA UONGO NI MAZOEA mmetugharimu...
Amina ndugu.maana Mungu amejaa rehema na neema. Sahihisho alikuwa Ibrahimu.siyo Musa. (Mwanzo 18:23-33.)
 
Damn so sad. Rest in Eternal Peace Beloved President.

We were not ready for this. Why am I Feeling so lost like a little child who has wandered far from his parents leash.

God have mercy on us. Let us not fall into any harm. Guide us, protect us.
 
Imeandika “Hesabu 35:31 Tena, msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji, ambaye amekuwa na hatia ya mauti; Lakini lazima atauawa”.
 
Damn so sad. Rest in Eternal Peace Beloved President.

We were not ready for this. Why am I Feeling so lost like a little child who has wandered far from his parents leash.

God have mercy on us. Let us not fall into any harm. Guide us, protect us.
Marehemu nakupenda kingereza, usituchoshe
 
Ndugu zangu,
Kifo ni nia yetu sote na Mauti ni yetu sote.Jemadari ameanguka lieni na kuomboleza.

Kati yetu tupo ambao hatukupendezwa na Mengi ya Zama na nyakati za Magufuli na Pia tupo ambao tulipendezwa.Wapo ambao hawakunufaika na wapo pia ambao walinufaika.Kama ilivyokuwa katika zama za Nyerere,Mwinyi,Mkapa na hata Kikwete kuna wa kupata na wa kupoteza.Hata hivyo lazima tuambieni ukweli hakuna ambaye Msiba huu haumgusi.Namkumbuka Mfalme Daudi alipopewa habari za kifo cha SAULI pamoja na kwamba SAULI alikuwa adui yako,Daudi aliomboleza KIFO chake.Narudia tena DAUDI aliomboleza kifo chake pamoja na kwamba SAULI alitaka kumuua DAUDI.

Mimi sio muumini wa historia ya Wayahudi bali nimeweka kumbukumbu hii hapa ili tujua kwamba Pamoja na tofauti zetu,MAGUFULI ni JEMADARI WETU TUMLILIE

Tumlilie kwa sababu alikuwa na maono na taifa letu ambayo alihitaji kuyakamilisha na ameondoka na kutuachia wenyewe tuamue kama tutayakamilisha ama tutayaacha.Tumlilie kwa sababu alifanya mambo mengi mema na mabaya ktika kuhakikisha kuwa nchi yetu inaenda mbili.Tumlilie kwa sababu tulimpa jukumu zito la kusimamia uendeshaji wa nchi yetu pamoja na udogo wako.MAGUFULI NI JEMADARI WETU TUMLILIE

TUMLILIE kwa sababu hatujui atakayekuja baada yake atakuwaje,tutambue kwamba tulilalamika mbele ya Mungu na kunungunika tukidai Mfalme kama ambavyo wayahudi katika historia yao walipodai mfalme na wakapewa.Mfalme akaja na maumivu yake na Magufuli alikuja kwetu na Maumivu yake.TUMLILIE MAGUFULI NI JEMADARI WETU.

Tuskubali kudanganywa kwamba yeye alikuwa mwovu kuliko sisi.Kama tulishindwa kusimama katika wakti wa dhiki na kusimamia kile ambacho tuliamini ni haki basi sisi ni waovu kuliko yeye.Kuwepo kwetu hai hakumaanishi kwamba sisi ni wema zadi na wala kufa kwake hakumaanishi yeye ni Mwovu.Tumlilie Jemadari wetu Ameanguka.

Tusisubiri kumlilia wakati tutakapotambua kwamba ni heri mti mbichi kuliko mti mkavu.Tumlilie kwa uchungu kwa maombelezo.Yeye ni jemadari wetu,kiongozi wetu.Yeye alikuwa mkuu kati yetu na mdogo kati yetu.Tumlilie Jemadari wetu MAGUFULI

Nenda Magufuli Nenda. Kaungane na Nyerere na Mkapa katika kulienzi taifa letu.Kaungane na Wazalendo wengine waliotangulia katika kuliombea taifa letu.Kasimame pamoja na mashujaa walinzi wa taifa hilii.Nenda Shujaa,nenda shahidi,Nenda Jemadari.
 
Si kwamba walikuwa hawafurukuti, walitaka na wewe uamini kwamba hawafurukuti.

Sijajua msimamo wa bi Samia, lakini pia nitoe tahadhali,kama ajenda ya wapinzani itaendelea kuwa jpm,wamekwisha.

Haijalishi watamsema kwa mema au mabaya.
Upinzani ajenda yao haikuwa wala haitakuwa jpm maana kabla hata ya jpm upinzani ulikuwa imara sana maana walifanya siasa bila kuzuiwa.Rejea enzi za Dr Slaa au Lowassa alivyowachachafya ccm nusra waachie nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi mkuuu wa nchi kufa akiwa madarakani si kawaida. Kuna mambo mabaya ambayo kayafanya mimi na wewe tusiyajue yakamuchukiza mungu. Kikubwa alale salama na akajibu mazuri na mabaya aliyowatendea wananchi wanyonge.

Inasikitisha sana ila wapo viongozi wengi waliokufa wakiwa madarakani
Ila kwetu ni mara ya kwanza
Kila nafsi itaonja mauti
Dunia mapito tu
 
Upinzani ajenda yao haikuwa wala haitakuwa jpm maana kabla hata ya jpm upinzani ulikuwa imara sana maana walifanya siasa bila kuzuiwa.Rejea enzi za Dr Slaa au Lowassa alivyowachachafya ccm nusra waachie nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
inauzungumzia upinzani wa akina silaa??

mimi nazungumzia huu wa kudandia matukio,corona,nzige,mahindi,makinikia nk,ambao pia hauna viti vya uwakilishi bungeni.

leo magufuli amefariki,kesho utashangaa mapambie ya kusifu kutoka upande huo.
 
Watanzania poleni kwa msiba
Magufuli wewe safari yako tayari imekamilika hapa duniani
Nirudi kwenye mada yangu
Dada yangu Samia Magufuli amekuacha kwenye msitu mnene sana
Uliojaa wanyama wakali sana
Pole sana Mungu akupe nguvu kushinda ila unaenda kishuhudia wanyama wakitoka kila pande za msitu kutaka kile mlichokuwa mnakilinda na Magufuli jiandae una kazi nzito sana unaenda kufelishwa na wasaidizi wako
 
Sina huruma nae Magu, kaua ndugu yangu kwa mapanga, ubongo ukachuluzika mithili ya supu nzito ya nguruwe.. Mapolisi wakafanya uchunguzi wakasema ni ugomvi wa mapenzi, Pamoja na kuwaonesha meseji nyingi za vitisho kutoka kwa wana CCM hakuna hata mmoja aliyekamatwa.

Kisa cha yote ni ndugu yetu kuwa Diwani wa Chadema, hilo lilkuwa kosa kwao wakamuua kikatili kwa Mapanga .
Leo kwetu ni sherehe, wanafamilia tunasherekea mbuzi,anachinjwa.

R.I.P my bro, watesi wako wanakufata taratibu.

Kila la kheri Samia
 
rama.jpg
 
Umemdharau wewe, sie tumemuelewa vizuri tu..
Aya ndo shida yenu kila kitu mnaona sawa yaani hata ikitokea mtu anatoa ufafanuzi unaoeleweka mtamuona kama mpinzani,nikupe pole you need to change!
By the way tuendeleee na maombolezo,apumzike kwa Amani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom