mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Unafiki tu hamna lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafiki tu hamna lolote
Walipeni wastaafu nyie,unaandika unafiki mtupu.Tumerudi kwenye zero, wakuu watakalia kujaza Mifuko Yao. Wakisha mzika tu angalia safari zao zat nje next week. Wamemuua kipenzi cha watu
Duh kweli mapunguani mpo wengi,leo hii matusi ya Wapinzani ndio yamemuua?Kupiga kazi sana bila mapumziko ya kutosha na matusi ya wapinzani maskini yamemuondoa.
Inna Lillaah wa inna Ilayhi raajiuun
انا للاه وان اليه راجعون
Uzalendo gani walio nao Chadema?Nadhani ni msukumo wa uzalendo tu
Hii ndio shida ya kuabudu watu badala ya Mifumo imara ya Serikali. Na hakuna utawala wa ufisadi kama huu wa Jiwe.Tumerudi kwenye zero, wakuu watakalia kujaza Mifuko Yao. Wakisha mzika tu angalia safari zao zat nje next week. Wamemuua kipenzi cha watu
Kaona nyingi sana hizo,kwanza ilitakiwa akishaenda kaburini tuu maombelezo yaishie hapo hapo.... why siku 21 badala ya 14 zilizoamriwa na the de facto Amiri Jeshi Mkuu Her Excellence Samia Suluhu Hassan? Something wrong?
Kama kuwapotezea wapinzani ni kuwavunja nguvu ya ushawishi mazima kwanini Magu asingefanya hivyo mbona ni njia isiyokuwa na gharama hata chembe badala yake alishughulika nao kisawasawa kuhakikisha hawafurukuti iwe kihalali ama kimagumashi.haipo hivyo.
magu aliuweka upinzani kona mbaya tu,hasa kwa kuunyima ngumu mwaka jana.
huyu mama akiamua kuwapotezea na kuwachia uhuru kawamaliza jumla.
Na alete maridhiano na umoja wa kitaifa.... Nawaza tuu hapa huyo anayemjulia ndo awe VP wake....Samia Suluhu akiwa kama Rais ajae, ana uwezo wa kuturudisha kwenye nchi ya maziwa na asali au kuendeleza ubabe wa toka 2015.
Afufue uchumi uliosinyaa na kuleta sera nzuri zenye kuleta ustawi na mshikamano wa taifa letu. Palipo vunjika aunganishe, walioumizwa wapewe faraja.
Pia tusidhihaki wapakwa mafuta.
JPM apumzike anapostahili.
Kabisa ndugu. Imetugharimu sana tena sana. Watubu hii DHAMBI.NDIO NA HILI FUNZO;LILILO TUGARIMU KWELI, UONGO NI DHAMBI
I think CHADEMA knew before what was on offing. RIP JPM and pole to the entire CCM family.Rest in peace.
A point of curiosity though...
CHADEMA wameitisha press conference kesho and usiku huu Mama Samia comes with this news.
Coincidence? Or has Chadema become a force to be reckoned with.
Nadhani hujui majukumu ya TISS. kazi yao si kuzuia kifo, ni ku provide ulinzi wa taifa.Hivi kweli TISS wameshindwa kuzuia kifo cha JPM?
Si kwamba walikuwa hawafurukuti, walitaka na wewe uamini kwamba hawafurukuti.Kama kuwapotezea wapinzani ni kuwavunja nguvu ya ushawishi mazima kwanini Magu asingefanya hivyo mbona ni njia isiyokuwa na gharama hata chembe badala yake alishughulika nao kisawasawa kuhakikisha hawafurukuti iwe kihalali ama kimagumashi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale watarudishwa kwa mwajiri waoWAKUU HIVI YULE BODYGUARD ALOKUA NYUMA YA RAISI ATAHAMIA KWA MAMA SAMIA AU NDO NAYEYE ATAENDELEA NA MAJUKUMU MENGINE?
Yaani natafakari nashindwa kuelewa walituona sisi wajinga? au mazezeta?. Nini faida ya kusema uongo wao.kwa hili wajitathimini. AIBU HAITOTOKA KATIKA NYUSO ZAO.Walidanganya Watanzania. Badala wangesema ukweli ili aombewe. Yaani viongozi hadharani kusema uongo wakati inajulikana wazi alilazwa. I will never trust a politician.
Katiba imelekeza siku 21Nadhani ni msukumo wa uzalendo tu