Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama watahitajika kufanya hivyo wataendelea kama kawaida,ile ni kazi yao ambayo serikali imewapa na wana lipwa kwa ajili ya hilo.Ukiongezea na wale mabonge ntashkuru
Sio kwamba aliyedhamiria kuua upinzani sasa hayupo tena kwahiyo upinzani utapaa kwa kasi ya kimbunga.Huwa wanasema raha ya upinzani upate wa kukinzana naye.akikisekana raha yote inapotea.
Huwezi amini hiki ndicho kinawezakuwa kifo rasmi cha umaarufu wa chadema.
Bashite alikuwa anasubiri uteuzi sijui ana hali gani?Poleni sana Mataga na Watanzania kwa ujumla.
Mbowe anaweza sn siasa na siyo uaduiNinachowapenda CHADEMA hawanaga kinyongo. R. I. P Magu
Haipo hivyo.Sio kwamba aliyedhamiria kuua upinzani sasa hayupo tena kwahiyo upinzani utapaa kwa kasi ya kimbunga...
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa sio vita wa uadui. Nataman ccm wangelijua iliMbowe anaweza sn siasa na siyo uadui