mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nilivyoamka saa saba usiku nakutana na meseji ya mpenzi wangu kuwa magufuli amefariki.nikaingia instagram nakuta na hizi habari. Nikaingia JamiiForums.
Nikalog out kwanza.
Nikawa naingia kama guest user .
Sikukoment kitu mpaka asubuh ndo nimeanza kukoment.
Binafsi kama siamini vile.
Nikalog out kwanza.
Nikawa naingia kama guest user .
Sikukoment kitu mpaka asubuh ndo nimeanza kukoment.
Binafsi kama siamini vile.