TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Hivi wewe huo muda unaupata wapi?Mlisha ambiwa mtumie muda wenu kuchapa kaaziii
 
Zile fedha zao mafao ni zao mkuu wamezitumikia hata kama umemfukuza.
 
Dar wangeuleta tu,,,Dar ndo Tanzania ilipo.
Samahani nje ya mada japo sio mbali.

Hivi kama kifo kingemkuta JPM akiwa Chato, mwili ungepelekwa Dar kwa ajili ya kuagwa au ingekuaje?
 
Wasipoweka utaratibu mzuri wa kumuaga Hayat JPM, nadhani tutaongeza hesabu ya vifo zaidi kwa watu kukanyagana!
 
Waliokuwa wanamwelewa Jpm ni wachache sana, hata kwenye kuaga watakuwa wachache, nahisi hivyo.
 
Yaani mtu upoteze muda wako kwenda kumuaga Sadist? Labda uwe unaenda kuhakikisha kafunga mdomo au hajafunga maana ule mdomo ulikuwa si mzuri.
Kutafulika sana na itabaki history duniani. Leo nimeshuudia watu wanalia mitaani wanamlilia kipenzi chao
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…