TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Mkuu pitia history ya Gadaff hakuwa mtu mzuri kama unavyodhani yeye pia kauwa watu wengi kama jiwe
Mzungu kabla ajaleta tatizo kubwa huwa analiandaa kwanza kwenye fikra ya mtu ndivyo alivyo fanya libya Gadaff alikua si muuwaji wa rais wema wale walikuwa ni waasi waliotumiwa na mtu mweupe ilikushambulia serikali ya libya ndo likatengenezwa wazo lakuwa alikuwa muuaji
 
wengi wataenda kudhibitisha kweli kaenda
 
Samahani nje ya mada japo sio mbali.

Hivi kama kifo kingemkuta JPM akiwa Chato, mwili ungepelekwa Dar kwa ajili ya kuagwa au ingekuaje?
Ungepelekwa Lugalo kuhifadhiwa
 
Tunaomba pia kwa Kanda ya Ziwa waulete mwili wake ili tumwage hapa uwanja wa CCM Kirumba.
 
alikuwa kipenzi chako tu, Mungu haongwi ukuu wa wilaya
Ukiongozwa na chuki kutoa maoni ndo hali kama hii ya kutoa majibu bila kutafakari inakukuta. Masuala ya kuwa au kutokua kipenzi changu nimeyazungumzia wapi?
 
Mkuu wale hawakuwa waasi walikuwa magaidi na yeye ndo alikuwa mfadhiri wao,

Na kilichofanya wamgeuke alianza kuwa SNITCH kwa wamarekani. Marekani na wenyewe waka msnitch kwa magaidi ili wamalizani wao kwa wao,

Note: Gadaff alianza kujiita muafrika baada ya waarabu wenzie kumtenga waliposikia kawa SNITCH wa marekani
 
Angekuwa anapendwa kiasi hicho kilikuwa na haja gani ya kuleta kura za kwenye mabegi?
 
NINAVYOJUA MIMI, MWILI WA RAIS HUZUNGUSHWA MIKOANI KUTOA FURSA WATU KUMUAGA NDIPO ANAZIKWA..
 
Sasa na rais wetu naye wazungu wamem snitch kwa kumuua
 
Wawakumbushe watu kuvaa barakoa ikiwezekana zigawiwe kwa kila atakayekuwa hana uwezo wa kununua.
Sheria ya mazishi ya viongozi inautambua uwanja wa Uhuru Dar es Salaam kuwa ndio sehemu kiongozi yeyote anayekufa aagiwe pale
 
R.I.P. hayati Rais John P. Magufuli.

"Mwanadam amewekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu". Waebrania 9:27
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…