TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Mtoa mada uwe unahakiki unavyoandika ukiambatanisha na ushaidi.

Kumb 34:4.
 
Huyo labda musa muuza kahawa hapo lumumba,hakuna nabii anaeweza toka kwenye chama cha majambazi,wauaji,wezi,mafisadi
 
Kuna mahali Musa alibugi.
 
 

Attachments

  • IMG-20210319-WA0042.jpg
    71.5 KB · Views: 3
 
Jamaa kafeli sana, bangi ina safari ndefu ya kuhalalishwa kwa sababu ya wapuuzi kama hawa.
 
Mi nasema kama watu hawa wanaojiita wakristo au waislam wasipolalamikia hili jambo rasmi nitaumia sana. Labda tuambiwe alikuwa alikuwa anamaanisha mungu tumbo au vinginevyo. Lakn kama ni huyu mzee wa cku lazma hatua zichkuliwe. Haiwezekan hli jambo likapita hiv hiv.
 

WAPI JOSHUA WETU?
 

Sijaona ukieleza kuwa zinatofauti katika jinsi ya kumfuata Yesu na kuweza kuuona/kuupokeaUfalme wa Mbinguni.
Kuna ambayo inasema usimpokee/kumkubali Yesu?
Kuna ambayo inasema usitubu dhambi zako?
Kuna ambayo inasema usibatizwe kwa maji?
Kuna ambayo haikiri kuwa Yesu atabatiza kwa
Moto na kwa Roho Mtakatifu?
Kuna ambayo haisemi Yesu Kristo ndio njia pekee ya Kweli na Uzima? Hakuna mwabadamu atakaye pata Uzima wa milele bila ya kupitia yeye.

Kuna ambayo haisemi kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa?
Kuna ambayo haisemi Bwana Yesu alifufuka na alishinda kifo na kaburi. Kaburi lake liko wazi?
Kuna ambayo haiseme Yesu alifufua wafu akiwemo Lazarius?
Kuna ambayo haisemi lazima niondoke duniani ili msaidizi wa karibu Roho Mtakatifu aje kuishi nanyi hapa duniani?
Kuna ambayo inasema Roho Mtakatifu ni mwanadamu?
Kuna ambayo inakana Yesu alizaliwa na Mariam akiwa bikira?
Kuna ambayo inakataa kuwa Yesu ni mzao wa Daudi, Yakobo, Isihaka, na Ibrahim.
Kuna ambayo haisemi Yesu ni Adam wa pili ambaye kwa kupitia yeye ulimwengu mzima umeokelewa na dhambi? Hapa shsrti ni umpokee na kubatizwa utubu dhambi zako ndio vigezo lakini. Hamna nafasi ya kumkiri na kumpokea kiholela holela. Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Naachia hapa kwani yako mengi sana sana hakuna anayeweza mwanadamu kuyadocoment matendo yote ya Bwana Yesu.
Kwenye maombolezi ya mpendwa wetu JPM naendelea kuwa makini pamoja na yatokanayo. Hii mbinu yenu ya kuniweka busy na maswali ya Mungu haitafua dafu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…