Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 868
- 1,016
Hao maraisi ktk awamuWeka minofu kidogo mkuu ubongo upate japo chakula kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao maraisi ktk awamuWeka minofu kidogo mkuu ubongo upate japo chakula kidogo.
Yaani hata sijui nafanyaje usiku huu aseeNilikuwa nimelala nikapigiwa simu, imagine usiku wangu ulivyoharibika. Si angeniacha tu nilale?
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Tendeni mema ,dunia mapito ,hakuna anayefurahia kifo ila wanakwambia ADUI MUOMBE NJAA.Mafisadi watafurahi
RIP Rais MAGUFURI tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya.
Omba uzima uone kuwa uovu hauna nafasi.Sawa, tupo hapa tutaona. Hopefully uchaguzi ujao hamtaibiwa kura, msijee sema mzimu umefufuka umewaibia kura. Maisha ni haya haya ndugu
Naungana na wewe kihisiaNahisi mkono wa mabeberu tu.
Watu wote ni muhimi ndugu! R.I.P JPMDamn it. Nimeumia sana.
Tumepoteza mtu muhimu sana.
Now Tanzania tutapelekeshwa sana.
Upatwe na msiba utakao kuuma Amen
Sawa na tusubiriOmba uzima uone kuwa uovu hauna nafasi.
Ni shetani tu anayeweza kufurahia kifo cha mwanadamu!! Na watoto wa shetani pia wamerithi uovu huu wa kufurahia vifo vya wanadamu wenzao.Haya Chadema furahieni sasa mliyoyaomba yamejibiwa
MZena ndo IPO wapi?gogoki apewe heshima..Ndio maana lissu alikuwa na uhakika sana.
Majaliwa alitupotosha kwa kusema kwamba raisi yupo njema na anachapa kazi ikulu while samia anatuambia kwamba tar hizo alikuwa anapewa matibabu mzena.
Wewe ndio umeandika la maana sio hawa wanaolia liaMm wala sijaguswa, sijaumia, sijasikitika, sijafurahi.
UJUMBE:
Urais ni taasisi, tujenge taasisi imara tusitegemee mtu. Watu huwa wanapita , Tanzania itabaki. Ole wao wamtegemeao mwanadamu mwenzao.
Utashangaa mtu anasema nani atasimamia miradi, seriaz kwamba katka watz milion 60 hakuna anaeweza kuongoza nchi hii. Tujenge taasisi imara ili kiongoz akiondoka tuone ni kawaida. Na mambo yanasomga.
Cha msingi wanadamu wamekumbushwa kuwa hata majabali yana mwisho wake.Ngoja tuone furaha yao itaishia wapi
RIP Dr. JPM.Alitaka kumaliza urais wake akiwa ameweka miundombinu muhimu yote ili ajae ajishuhulishe na mengine. Aliipa TZ heshima kwa nchi jirani.
Anyways, anaejua sheria inasemaje tujuzane, mama Samia ataongoza nchi mpaka 2025 au utaitishwa uchaguzi mpya?
Sasa kama ulifukizwa kwa sababu hukuwa na vigezo hapo umeonewa.?Wafanyakazi wliofukuzwa kwa vyeti feki nawashuri wajiorganiza wafungue kesi mahakamani kudai mafao yao, Mama samia ni mtu wa huruma atawasaidia maana kashapata somo kwamba mali,vyeo ni vya kupita.