Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mitano tena pengine walimaanisha miezi... Novemba, Disemba, Januari, February na Machi... SijuiBest nimecheka na hii comment🤣..neno mitano tena limekufa rasm dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tena pengine walimaanisha miezi... Novemba, Disemba, Januari, February na Machi... SijuiBest nimecheka na hii comment🤣..neno mitano tena limekufa rasm dah
Fundisho gani, kwani hata ukifundishwa hutakufa? Let the bygones be bygones. Hivi tukifundishwa kuishi vizuri na watu ndio tutaishi milele?Is not a matter of kusameheana. Ila hii misiba iwe fundisho kwamba maisha ya duniani ni ya kupita.
Huwa ipo hivyo kiongozi, kama ushawahi poteza mtu muhimu sana maishani...mathalani mzazi, make, mtoto n.kAiseee...
Sijui kwanini habari za misiba huwa hazinishtui kabisa
Alipewa muda ila alikua na kiburiHata mm nimemsamehe amepata adhabu kubwa mno maskini ya Mungu..Mungu angempa uhai akafanya kitubio
Mbaya zaidi alishupaa kuyasema hayo akiwa kwenye mimbari ya msikiti na siku tukufu ya Ijumaa. Ama kweli aliyesema tusichanganye dini na siasa hakukosea!Katika watu nitakaowadharau katika maisha yangu yote, ni Majaliwa. Mtu anaumwa, yuko taabani, bila hata aibu unatoka unasema eti hajambo, anachapa kazi.
Katika hali ya kawaida, itokee ndugu yako au jirani yako anaumwa hoi bin taabani, halafu jitu litokee liseme kuwa huyo jirani yenu ni mzima wa afya kabisa, mtu wa namna hiyo mtamwelewaje?
Majaliwa hastahili kupewa nafasi yoypte kubwa. Kwa kuwa ni mwongo, aliliongopea Taifa.
Mwenye ule uzi wa utabiri wa hawa viongozi kuondoka atuwekee.........au atupatie title yake.
Hanishindi MimiYan BAK leo una furaha sana,
Yan nahis hakuna siku ambayo una furaha kama leo
Mataga wanaona rangi za kila aina , hawaamini vyeo pesa visikupe kiburi tutende haki dunia tunapita .Hatari mkuu MATAGA kwisha habari yao!! Tulijua lazima watatema KIAZI cha moto tu.