TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Innaa Lilahi Wainna Ilayhi Rajiuun.(Hakika ya sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Mama Samia Ukikamata Uraisi fanya vitu 5 haraka sana.
1-Watoe Masheikhe wa Uamsho Mara moja
2-Rejesha Bureau mara moja
3-Mchakato wa katiba ya Warioba uendelee mara moja
4-Weka bandari huru au punguza ushuru sana special kwa Raia
5-Chagua Timu yako mpya ya Uhakika .
NOTE KIKULACHO KIMO NGUONI MWAKO
 
REST IN PEACE NGOSHA THE DON...
Umeacha alama na standards za JINSI YA KUFANYA MAMBO KWA VIONGOZI.
 
Na kuna kitu nakuwa napata hisia...

Kuna watu walio katika uongozi wataanza kujifanya wao ndio Magufuli waliobaki, si ajabu vikatokea vimtu kama kina Sabayer kwa mwamvuli wa kumuenzi the real JPM vikaongoza watu kwa mabavu kupitiliza!
Hao wala wasikupe shaka,yule nyoka aliekuewa anawapa kiburi tushagonga kichwa chake hakuna sumu tena,hawa tutawamudu tuu.
 
Innaa Lilahi Wainna Ilayhi Rajiuun.(Hakika ya sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Mama Samia Ukikamata Uraisi fanya vitu 5 haraka sana.
1-Watoe Masheikhe wa Uamsho Mara moja
2-Rejesha Bureau mara moja
3-Mchakato wa katiba ya Warioba uendelee mara moja
4-Weka bandari huru au punguza ushuru sana special kwa Raia
5-Chagua Timu yako mpya ya Uhakika .
NOTE KIKULACHO KIMO NGUONI MWAKO
Mmeshaanza kumpangia ya kufanya. Huytamchukia nae sababu hawezi fuata maelekezo yenu.
 
Maisha ni mafupi sana:-

watu wamefukuzwa kwa vyeti feki na wamenyimwa mafao ,ni ukatili mkubwa sana uliofanywa...Tutende mema dunia tunapita,Jk alikuwa anajua kwamba kuna watu wenye vyeti feki lakini aliacha na kuwaambia wajiendeleze.
Kila kimoja hapo kina faida yake na hasara yakoe. R.I.P dr JPJM
 
Marehemu alikuwa jeuri sana na alijisahau sana na ndio maana katika kifo chake hakufanya maandalizi yoyote.
Mm nilianza kuwa na mashaka na maisha yake pale viongozi wa dini walipo mtangazia kiama.

Na ile hotuba ya kanisani kuwagonisha ikawa ndio hiyohiyo wala hakurudi tena pale
 
Ni muda muafaka kuirudisha nchi katika utawala wa sheria na kufuata katiba, apumzike anapo stahili.
I'm not sad kwamba kaondoka, marehemu asemwi vibaya ila nimeshuhudia uonevu mwingi na mateso mengi ya watanzania ambao walisimamia ukweli.
Kutoka moyoni nina furaha , na mbwa wote wa kijani ni muda wa kuheshimiana sasa.
#katibampya ni lazima asije akatokea mwingine kama huyu akageuzwa mungu mtu.
Pole Lissu, poleni mlio bambikiwa makesi ya uchochezi yasiyo na kichwa wala miguu na wote walio fungwa kwa hila tu.
RIP MAWAZO, BEN SAANANE, Na wote walio ondolewa nafsi katika utawala wa kidikteta wa huyu jamaa.
Come 2025 tufanye mabadiliko tuwatoe mboga mboga wote.
"...na mbwa wote wa kijani..."

Ni hapo hasa ambapo pamenipa shida!

Tutaanza vipi kupeana heshima tukianza namna hii?
 
Ulipopewa jogoo kule Kibiti ulisema na baba yako ameshafariki, yule mtu anaweza kuwa baba yako.

Ulikwenda Bukoba ukawaambia wewe hukuleta tetemeko kwahiyo hutaleta chakula.

Ulisema chuchu moja la sidiria linatosha kushona barakoa.

Ulimwambia Mwalimu Mkuu, kama hujaoa nitakutoa katika hii shule, huwezi kufundisha mabinti wazuri wakati huna mke.
Sikutaka kuandika lakini kwa hii comment nashindwa kuvumilia. Ulaaniwe
 
Yan sipatii picha lema na Lissu huko walipo watakavyojiachia na wiski huko
Sasa maono ya Nabii Lema yametimia.. Dci afute kesi ya Lema. Utabiri umetimia. Uko wapi ubabe wa wizi wa kura?? Uko wapi ubabe wa kupoteza watu? Dunia tuna pita... Sasa tuna kwenda kuona Tanzania huru. Tuna hitaji uwazi, tuna hitaji Tanzania moja sio kanda.
Magufuli ukifika muombe radhi Mawazo,
Muombe radhi mama yake Eric Kabendera, na wote ulio wadhulumu maisha kwa kutumia vijana wako.
Huenda mmoja wao akachovya kidole chake kwenye maji aupooze ulimi wako. Maana sioni jinsi utaiona pepo. Utawakuta kima Mawazo wakiwa na malaika. Wewe ukiwa ule upande wa pili.
 
Nishakujibu sijafurahishwa na kifo mkuu mbona unakuwa sio muelewa? Sehemu gani inaonyesha nimefurahi? Nilichosema tutende mema kwa wenzetu ,tusiwafanyie wenzetu mabaya kisa ya cheo,pesa or any pride maana dunia tunapita..UBAYA UBAYA TU ,MITANO au SABA TENA.
askari anayeua jambazi,anafanya unyama kwa ajiri ya dunia njema kwa wengine.

bahati mbaya kwa ndugu wa jambazi mtizamo ni tofauti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom