witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
MmmhThey killed him
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhThey killed him
Kassim Majaaliwa alisema Raisi ni mzima na ameongea naye , kwavile alikuwa na ziara nyingi sasa yuko ndani anafanya kazi za kiofisi, au wewe hukumsikia alipokuwa anatoa salamu za raisi?Unajuaje kama walikuwa waongo?
Na ipi ilikuwa sababu ya uongo wao?
Imebidi nicheke tuu[emoji848]Ina maana nchi hii inanini na maraisi wakristo hakuna hata mmoja... Bora kutembea kwenye namba SHUFWA katika awamu za uraisi .. Witiri na tasa yamkini zina gundu
kassim majaliwa amatoa kauli hiyo lini??Kassim Majaaliwa alisema Raisi ni mzima na ameongea naye , kwavile alikuwa na ziara nyingi sasa yuko ndani anafanya kazi za kiofisi, au wewe hukumsikia alipokuwa anatoa salamu za raisi?
Ni kweli kabisa. Licha ya mapungufu aliyokuwa nayo kama kiongozi mwingine yeyote aliifanya Afrika ijiamini na iamini kwamba kama tukithubutu tunaweza kupindua meza "kibabe"Lakini pia kaacha somo kubwa kwamba "kumbe inawezekana". Kama tukirudi nyuma baada ya kutuonyesha njia, nitaamini kwamba kuna kilaana fulani kipo nyuma ya mtu mweusi.
Nimekuelewa mkuuJamani look at the clip where he said walimpa sumu na akapona sasa wameweza. I feel bad for someone to be killed like that. Alikuwa amekata mirija ya corruption. Tanzania tumerudi kubaya tena. SaD story.
Yaani mungu ajalie tuwe hai kitakachomtokea wa 7 tushuhudie. there is something sio bureImebidi nicheke tuu[emoji848]
Umeandika mengi lakini mimi nitakuuliza haya mawili tu Mji wa Nazareth na kifo cha Yesu.
Tuanzie na mji wa Nazareth
1. Umeandika Yesu wa Nazareth , Jee unaelewa kuwa huo mji haujakuwepo ulimwenguni , ni theology ndio iliyoubuni ??
The Gospels tell us that Jesus's home town was the 'City of Nazareth' ('polis Natzoree'):
The gospels do not tell us much about this 'city' – it has a synagogue, it can scare up a hostile crowd (prompting Jesus C'hrist,s famous "prophet rejected in his own land" quote), and it has a precipice – but the city status of Nazareth is clearly established, at least according to that source of nonsense called the Bible.
However when we look for historical confirmation of this hometown of a god – surprise, surprise! – no other source confirms that the place even existed in the 1st century AD.
JPM had a huge vision for his country, now walaji wamemuua. These people should be locked up! Eti heart problems, the guy was so fit, he looked Like a 25 year old man.
Angalia hiyo miradi mikubwa itakavyosimama. They have been planning how to divide the massive cake among themselves.
It is possible he died 2 weeks ago! Tell us the truth you corrupt leaders.
Mwendazake kibuli na majivuno vimemponza,na yeye ameji snitch,alipuuza tahadhari na kudharau korona
Bwana asipoulinda mji wake wakeshao wanafanya kazi bure. - kuna mahali imeandikwaMbona alikuwa na convyoy ya madaktari na gari Maalum la kumlinda kiafya? Wakati mwingine watu wanafanya majukumu kwa kuangalia mwelekeo wa boss. Na kuogopa kuwa critical maana ukiwa hivyo kesho kazi huna. Alishasema hadharani kuwa "Mimi sipingwi"
Amevuna alichopanda. No regret.
Haya bhana ila haya maisha tu.Naomba kuwauliza wana JF sina pa kuuilizia mie hivi ''Huyu Marehehmu alipata Muda wa Kutubu kweli?? au kuongea mambo mawili matatu na Malaika Gabriel??'' naomba jibu ili niwape aliyo paswa kuwa...
hata mimi naona ndio rais mwenye nguvu na ushawishi aliyebakiSijui kwanini nawaza na kujiaminisha nchi inarudi kwa JK. Namwona mtu kama JK kakamata rimoti kontroo kwa mbali....
Unaongelea biblia ipi? Ya RSV, NIV, Queen James Version, King James Version au maelfu ya biblia tofauti?Maswali haya yanaulizwa na wale wanaofikiri Biblia inasomwa kama Novel. Huwezi kuielewa Biblia kwa kusoma huku ukiwa hujaomba mafunuo kutoka kwa Mungu kupitia Roho Mtakatifu...
Unaongelea biblia ipi? Ya RSV, NIV, Queen James Version, King James Version au maelfu ya biblia tofauti?