TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Kwa hili corona ilitufanyia jema watz haswa kumfyeka huyu kichaa

Yaani Covidi ilimfyeka bwana yuleee ikamfyeka fyeee sahivi anachomwa huko kuzimu maskini

Mama yule hadi kanenepa maana jamaa alikua anamtesa sana


Asante Corona kwa kutusaidia watanzania kutuondolea yule mwendakuzimu yaani ilimfyeka fyeeee!!!!!!!! Sahivi wafuasi wake wametawanyika kama vitoto vya kuku vilivyokimbizwa na mwewe yaani ni raha sana


Kwa kweli asante mungu asante corona kwa kutuondolea yule kicha mwendakuzimu!

Nimeandika na sifuti!!
🔊🔊 exactly
 
Kwani wewe utaishi milele? Kwani kifo hakijawahi kufyeka ndugu zako? Kifo hakijaanzia chato, wachaga mnavyofurahia kifo cha magufuli, mind you kila mtu atafunika kaburi yake.
Kwani kifo kina huruma basi? Haijalishi alisababishiwa au ni mpango wa Mungu sisi tunashukuru maana kila mtu ataonja mauti.

Leo unacheka sisi tunalia ipo siku na wewe utakuwa ukilia na kusaga meno nasi kinafiki tutakuwa tukijisemea mmmh kwani nao wanaonja utamu wa kaburi yetu macho hii siku ipo haijarishi itafika lini.

Jpm wewe endelea kupumzika kwa amani.
Haya mambo huwa ni rotarion leo kicheko kesho kilio, wengi hawajui haya maisha ni mzunguko.
 
Afadhali yeye alipata nafasi ya kutubu..wewe utakufa kifo cha gahfla na hutapata mda wa kutubu..nautenda kwenyenmoto wa milele

Kwa hili corona ilitufanyia jema watz haswa kumfyeka huyu kichaa

Yaani Covidi ilimfyeka bwana yuleee ikamfyeka fyeee sahivi anachomwa huko kuzimu maskini

Mama yule hadi kanenepa maana jamaa alikua anamtesa sana


Asante Corona kwa kutusaidia watanzania kutuondolea yule mwendakuzimu yaani ilimfyeka fyeeee!!!!!!!! Sahivi wafuasi wake wametawanyika kama vitoto vya kuku vilivyokimbizwa na mwewe yaani ni raha sana


Kwa kweli asante mungu asante corona kwa kutuondolea yule kicha mwendakuzimu!

Nimeandika na sifuti!!
 
acha mikwara, tutakutia adabu nasisi, acha kumchafua Rais mbuzi wewe
Huyu msenge..e alichoandika unamtetea kwa lipi? Hata wewe utatafutwa huwezi ikimbia teknolojia hata kama unatumia ID fake, usione una uhuru wa kuandika ndio utumie uhuru huo kutakana viongozi wa taifa. Hizi fake ID zisikupe jeuri
 
Kuna jina la Rais yoyote amelitaja kwenye huo Uzi wake!?
Uhuru wa kutoa maoni uliyopewa jaribu kuutumia kujenga hoja na si kutukana watu hovyo huku mtandaoni, unapata faida ipi pindi unapotukana?
 
Kumbe unamshukuru mungu, sio Mungu hapo sawa. JPM mtu wa Mungu aliyehubiri habari za Mungu dunia nzima ikasikia hakika alikua mtu wa Mungu.
 
Kwa hili corona ilitufanyia jema watz haswa kumfyeka huyu kichaa

Yaani Covidi ilimfyeka bwana yuleee ikamfyeka fyeee sahivi anachomwa huko kuzimu maskini

Mama yule hadi kanenepa maana jamaa alikua anamtesa sana


Asante Corona kwa kutusaidia watanzania kutuondolea yule mwendakuzimu yaani ilimfyeka fyeeee!!!!!!!! Sahivi wafuasi wake wametawanyika kama vitoto vya kuku vilivyokimbizwa na mwewe yaani ni raha sana


Kwa kweli asante mungu asante corona kwa kutuondolea yule kicha mwendakuzimu!

Nimeandika na sifuti!!
Badogo zimwi lake linakujiaga tu!!
 
Kwa hili corona ilitufanyia jema watz haswa kumfyeka huyu kichaa

Yaani Covidi ilimfyeka bwana yuleee ikamfyeka fyeee sahivi anachomwa huko kuzimu maskini

Mama yule hadi kanenepa maana jamaa alikua anamtesa sana


Asante Corona kwa kutusaidia watanzania kutuondolea yule mwendakuzimu yaani ilimfyeka fyeeee!!!!!!!! Sahivi wafuasi wake wametawanyika kama vitoto vya kuku vilivyokimbizwa na mwewe yaani ni raha sana


Kwa kweli asante mungu asante corona kwa kutuondolea yule kicha mwendakuzimu!

Nimeandika na sifuti!!
Kimsboy tupe Updates za wataliban kule Afghanistan
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom