Rais wa Tanzania kufanya ziara ndani ya nchi ni ghali kuliko nje

Rais wa Tanzania kufanya ziara ndani ya nchi ni ghali kuliko nje

Hamna V8 inayotumia mafuta vibaya hivyo mfanyie service magari yenu jamani!

Proper working Engine inatakiwa ikupe Economy ya 10.2lt per 100km ikiwa kama ni wastani wa 10km per litre.

Rudia tena hizo hesabu zako mzee sababu kwa safari ya 1146kms/10km utapata around 114.6 ltr kwa safari yote. Kwa magari arobaini ni sawa na 114.6ltr x 40 = 4,584 ltrs ukizidisha kwa 2500 inakupa 11,460,000 TZS!

Hio ni kwa flat specs 1VD-FTV engines ila gharama inaweza ikazidi hapo hata ikawa mara 2 yake provided gari hazitumii same engine na makamuzi ya 180-220 KPH ikawa 22,920,000 TZS ndio real cost ya mafuta ya hizo gari!

Hio figure ya zaidi ya 100M umeipataje?
 
Hamna V8 inayotumia mafuta vibaya hivyo mfanyie service magari yenu jamani!

Proper working Engine inatakiwa ikupe Economy ya 10.2lt per 100km ikiwa kama ni wastani wa 10km per litre.

Rudia tena hizo hesabu zako mzee sababu kwa safari ya 1146kms/10km utapata around 114.6 ltr kwa safari yote. Kwa magari arobaini ni sawa na 114.6ltr x 40 = 4,584 ltrs ukizidisha kwa 2500 inakupa 11,460,000 TZS!

Hio ni kwa flat specs 1VD-FTV engines ila gharama inaweza ikazidi hapo hata ikawa mara 2 yake provided gari hazitumii same engine na makamuzi ya 180-220 KPH ikawa 22,920,000 TZS ndio real cost ya mafuta ya hizo gari!

Hio figure ya zaidi ya 100M umeipataje?
Uko vizuri mchochezi
 
Tunamtakia kila lenye heri Rais wetu,

Safari za nje hazina gharama kama ilivyo kwa zile za ndani,
 
Hamna V8 inayotumia mafuta vibaya hivyo mfanyie service magari yenu jamani!

Proper working Engine inatakiwa ikupe Economy ya 10.2lt per 100km ikiwa kama ni wastani wa 10km per litre.

Rudia tena hizo hesabu zako mzee sababu kwa safari ya 1146kms/10km utapata around 114.6 ltr kwa safari yote. Kwa magari arobaini ni sawa na 114.6ltr x 40 = 4,584 ltrs ukizidisha kwa 2500 inakupa 11,460,000 TZS!

Hio ni kwa flat specs 1VD-FTV engines ila gharama inaweza ikazidi hapo hata ikawa mara 2 yake provided gari hazitumii same engine na makamuzi ya 180-220 KPH ikawa 22,920,000 TZS ndio real cost ya mafuta ya hizo gari!

Hio figure ya zaidi ya 100M umeipataje?
Sawa ila sio kweli,
 

Gharama ya Rais wa Tanzania na deligate yake kusafiri ndani ya nchi ni kubwa kuliko ile yakwenda nje japo Safari zote mbili zinaumuhimu mkubwa kwa Taifa letu,​


Kipindi flani niliwahi kuhesabu magari ya msafara wa Rais wa JMT sina kumbukumbu sahihi ila yalizidi magari 40 mengi yakiwa ni aina ya " Land cruisers "

Nimejaribu sio kwa usahihi sana kufanya hesabu ya gharama za mafuta kwenye ziara ya Rais ndani ya nchi bila kuhesabu malazi na Chakula kama Rais atatokea Dar es salaam kwenda Mwanza na kurudi Dar es salaam bila kukatisha popote kwa msafara mdogo wa magari 40 tu,

Iko hivi gari aina ya Land cruiser V8 lililotumika kama haya yetu linatumia Lita 45.5 kwa umbali wa km 100 (45.5L/100Km )

Umbali kutoka Dar es salaam mpaka Mwanza kwa gari ni Jumla ya kilometa 1,146 hii ni hadi Mwanza mjini,

Chukua hizi 1,146km zigawanye kwa 100 utapata mizunguko 11.46 ya kilometa mia moja kila mmoja kutoka Dar-Mwanza.


Zidisha 11.46 kwa lita 45.5 ili kupata Jumla ya mafuta ya gari aina ya Land cruiser V8 kutoka Dar es salaam hadi Mwanza mjini ambapo utapata Jumla ya lita 522 za mafuta hii ni kwasafari moja ya gari moja kwenda Mwanza tu.

Sasa zidisha lita 522 kwa magari 40 kama makadirio ya chini ya msafara wa Rais utapata jumla ya lita 20,880 kisha zidisha mara mbili ilikujua gharama ya mafuta ya kwenda na kurudi Dar es Salaam,

Utapata Jumla ya lita 41,760 ikiwa ndio idadi ya lita za mafuta kwa magari yote 40 aina ya Land cruiser V8 kwa Safari ya kutoka Dar es salaam mpaka Mwanza na kurudi Dar es salaam.

Zidisha lita 41,760 kwa bei ya mafuta ya wastani wa TZS 2,500 kwa lita utapata Jumla ya TZS 104,400,000(milioni mia moja na nne na laki nne) Hii ndio gharama ya mafuta tu kwa Rais kusafiri kwa msafara wa magari 40 ndani ya Tanzania.

|[CHUKUA MFANO WA SAFARI YA RAIS SAMIA YA KWENDA MISRI]|


Gharama ya ndege za abiria anazopanda Rais Samia kama Ethiopia Airlines kutoka Dar -Cairo Misri kwa economy class ni TZS 850,000 per head na hii ni kwenda na kurudi Tanzania, ( two ways )

Kwamfano,kama Rais Samia atakwenda na deligate|msafara wa watu 40 basi atalipa nauli kwa wote Jumla ya TZS 34,007,000 kwa kwenda Misri na kurudi Tanzania,

Sasa gharama ya mafuta tu ya msafara wa Rais kwenda na kurudiMwanza,Geita,Kigoma,Kagera,Mara,Simiyu na maeneo ya jirani inakadiriwa kufikia TZS 100m bila kuhesabu Chakula na Malazi kwa deligates,


Wakati huohuo gharama ya kwenda Misri na kurudi na deligates ya watu 40 ni TZS 30m tu bila kuhesabu chakula na malazi,

Sasa kwamsiofahamu gharama za Rais wa Tanzania kufanya ziara ndani ya nchi ni kubwa kuliko gharama za Rais huyohuyo kufanya ziara nje ya nchi hasa kama Rais huyo atatumia ndege ya abiri kama anavyofanya Rais Samia Suluhu.

Namba hazijawahi kunidanganya mwenye akili ataelewa kuwa kumbe Rais anaweza asisafiri nje still deni la nchi likachipua kama uyoga.


View attachment 2006415
View attachment 2006416
Sahihi kabisa,
 
Tugawana basi hizo ngawila mnazopewa kupiga propaganda ! nchi haijengwi kwa kufanya spinning mitandaoni..
 
Rais wa JMT hapandi ndege economy class. Labda hao 'ma deligate' wake.
 
Kwanza anatumia hela ya chanjo na si kodi zetu hapo hakuna tatizo mama SASHA kazi ya kutangaza utalii iendelee kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
anatangaza utalii gani wakati kaenda kukopa kuongeza deni la taifa
 

Gharama ya Rais wa Tanzania na deligate yake kusafiri ndani ya nchi ni kubwa kuliko ile yakwenda nje japo Safari zote mbili zinaumuhimu mkubwa kwa Taifa letu,​


Kipindi flani niliwahi kuhesabu magari ya msafara wa Rais wa JMT sina kumbukumbu sahihi ila yalizidi magari 40 mengi yakiwa ni aina ya " Land cruisers "

Nimejaribu sio kwa usahihi sana kufanya hesabu ya gharama za mafuta kwenye ziara ya Rais ndani ya nchi bila kuhesabu malazi na Chakula kama Rais atatokea Dar es salaam kwenda Mwanza na kurudi Dar es salaam bila kukatisha popote kwa msafara mdogo wa magari 40 tu,

Iko hivi gari aina ya Land cruiser V8 lililotumika kama haya yetu linatumia Lita 45.5 kwa umbali wa km 100 (45.5L/100Km )

Umbali kutoka Dar es salaam mpaka Mwanza kwa gari ni Jumla ya kilometa 1,146 hii ni hadi Mwanza mjini,

Chukua hizi 1,146km zigawanye kwa 100 utapata mizunguko 11.46 ya kilometa mia moja kila mmoja kutoka Dar-Mwanza.


Zidisha 11.46 kwa lita 45.5 ili kupata Jumla ya mafuta ya gari aina ya Land cruiser V8 kutoka Dar es salaam hadi Mwanza mjini ambapo utapata Jumla ya lita 522 za mafuta hii ni kwasafari moja ya gari moja kwenda Mwanza tu.

Sasa zidisha lita 522 kwa magari 40 kama makadirio ya chini ya msafara wa Rais utapata jumla ya lita 20,880 kisha zidisha mara mbili ilikujua gharama ya mafuta ya kwenda na kurudi Dar es Salaam,

Utapata Jumla ya lita 41,760 ikiwa ndio idadi ya lita za mafuta kwa magari yote 40 aina ya Land cruiser V8 kwa Safari ya kutoka Dar es salaam mpaka Mwanza na kurudi Dar es salaam.

Zidisha lita 41,760 kwa bei ya mafuta ya wastani wa TZS 2,500 kwa lita utapata Jumla ya TZS 104,400,000(milioni mia moja na nne na laki nne) Hii ndio gharama ya mafuta tu kwa Rais kusafiri kwa msafara wa magari 40 ndani ya Tanzania.

|[CHUKUA MFANO WA SAFARI YA RAIS SAMIA YA KWENDA MISRI]|


Gharama ya ndege za abiria anazopanda Rais Samia kama Ethiopia Airlines kutoka Dar -Cairo Misri kwa economy class ni TZS 850,000 per head na hii ni kwenda na kurudi Tanzania, ( two ways )

Kwamfano,kama Rais Samia atakwenda na deligate|msafara wa watu 40 basi atalipa nauli kwa wote Jumla ya TZS 34,007,000 kwa kwenda Misri na kurudi Tanzania,

Sasa gharama ya mafuta tu ya msafara wa Rais kwenda na kurudiMwanza,Geita,Kigoma,Kagera,Mara,Simiyu na maeneo ya jirani inakadiriwa kufikia TZS 100m bila kuhesabu Chakula na Malazi kwa deligates,


Wakati huohuo gharama ya kwenda Misri na kurudi na deligates ya watu 40 ni TZS 30m tu bila kuhesabu chakula na malazi,

Sasa kwamsiofahamu gharama za Rais wa Tanzania kufanya ziara ndani ya nchi ni kubwa kuliko gharama za Rais huyohuyo kufanya ziara nje ya nchi hasa kama Rais huyo atatumia ndege ya abiri kama anavyofanya Rais Samia Suluhu.

Namba hazijawahi kunidanganya mwenye akili ataelewa kuwa kumbe Rais anaweza asisafiri nje still deni la nchi likachipua kama uyoga.




View attachment 2119968

View attachment 2119970

View attachment 2119971

View attachment 2119976
Kaziiendelee
 
Back
Top Bottom