Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hamna V8 inayotumia mafuta vibaya hivyo mfanyie service magari yenu jamani!
Proper working Engine inatakiwa ikupe Economy ya 10.2lt per 100km ikiwa kama ni wastani wa 10km per litre.
Rudia tena hizo hesabu zako mzee sababu kwa safari ya 1146kms/10km utapata around 114.6 ltr kwa safari yote. Kwa magari arobaini ni sawa na 114.6ltr x 40 = 4,584 ltrs ukizidisha kwa 2500 inakupa 11,460,000 TZS!
Hio ni kwa flat specs 1VD-FTV engines ila gharama inaweza ikazidi hapo hata ikawa mara 2 yake provided gari hazitumii same engine na makamuzi ya 180-220 KPH ikawa 22,920,000 TZS ndio real cost ya mafuta ya hizo gari!
Hio figure ya zaidi ya 100M umeipataje?
Proper working Engine inatakiwa ikupe Economy ya 10.2lt per 100km ikiwa kama ni wastani wa 10km per litre.
Rudia tena hizo hesabu zako mzee sababu kwa safari ya 1146kms/10km utapata around 114.6 ltr kwa safari yote. Kwa magari arobaini ni sawa na 114.6ltr x 40 = 4,584 ltrs ukizidisha kwa 2500 inakupa 11,460,000 TZS!
Hio ni kwa flat specs 1VD-FTV engines ila gharama inaweza ikazidi hapo hata ikawa mara 2 yake provided gari hazitumii same engine na makamuzi ya 180-220 KPH ikawa 22,920,000 TZS ndio real cost ya mafuta ya hizo gari!
Hio figure ya zaidi ya 100M umeipataje?