Vasco Hangaya 🤣🤣🤣🤣Hoja yako ni kumshabikia Vasco Da Gama mpya au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vasco Hangaya 🤣🤣🤣🤣Hoja yako ni kumshabikia Vasco Da Gama mpya au ?
WewDah! Nazidi kuamini maneno ya Pascal Mayalla ya kwamba siku hizi JF imejaa wajinga kweri kweri!
Hakuna jipya lolote
kutetea Upuuzi
Upuuzi upi ZuwennaHakuna jipya lolote
kutetea Upuuzi
Acha kuzusha utawapa watu maneno yakusema,RAIS azunguke kadri anavyoweza... Wananchi lazima wapate unafuu kutokana na uwepo wa binadamu wengine!!
Zunguka Mama!
NB: Lakini Cairo Misri kaenda na ATCL
Hata usiposafari deni lipo tu, Mungu atusaidieRAIS azunguke kadri anavyoweza... Wananchi lazima wapate unafuu kutokana na uwepo wa binadamu wengine!!
Zunguka Mama!
NB: Lakini Cairo Misri kaenda na ATCL
Ni economy ndicho nilichoandikaAngalia bei Bussines class dugu acha laghai.
Hizo V8 zinaachiana mkoa kwa mkoa ila mafuta ni ya SerikaliSafari za ndani hutumia AirTanzania, hizo v8 hutumika ndani ya mikoa husika, lakini sio kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine labda kama hiyo mikoa iwe karibu, mfano Dsm - Pwani au Kilimanjaro - Arusha, lakini sio Mwanza - Dar thats too far.
Ndio hiyoDuuh kuna watu mnafikiri hata raha,
Aise kumbe Safari za ndani ya nchi ni gharama hivi,
Hongera Sana Rais Samia kachape kazi
Tuko pamoja, watu wazinduke sio kweli kwamba Safari za nje gharama tu hata za ndani pia,Asante JF,
Asante mwandishi
ASANTE RAIS SAMIA,
Kazi iendelee
Kwani wakiwa Tanzania hawali wala kula?Hahaha yaani unajitoa ufahamu kujustfy safari za Hangaya?
Mbona hujaongelea hotel za nyota 5 wanakolala huo msafara?
Posho zao wakiwa nje ya nchi si maradufu ya zile za ndani?
Vipi msosi 😁😁😁😁
Ndani watu ni wengi sana kwenye msafaraNa posho za msafara wake vipi au wanajitolea?
Wakiwa ndani ya nchi au nnje ya nchi posho ni ileile?
Kodi lazima ilipweLipa kodi acha kulialia
Rais asafiri economy class?Kodi lazima ilipwe
Aliekuambia anasafiri economy class nani?Ni economy ndicho nilichoandika
Naungana nawewe kwa 100% mkuu wanguKama anasafiri kwa kutumia million 200 na huku tukitegemea kupata turnover au manufaa ya zaidi ya billion 10 wacha asafiri ilimradi anasafiri kikazi na sio kwenda ku starehe
Why not?Rais asafiri economy class?
Thubutu
Mkuu hata delegates pia?Aliekuambia anasafiri economy class nani?