Bee Network
Member
- Nov 19, 2020
- 18
- 68
Mtu mmoja alisema; "Tanzania inaongoza kwa kuzalisha wasomi ambao ni mbumbumbu, na wasio na msaada kwa taifa lao".
Badala ya kutueleza hizo safari; ama za nje ama za ndani zina faida gani kwa Taifa, mtu anatuletea hesabu za nafuu!
Huu ni msiba mkubwa!!![emoji36]
Badala ya kutueleza hizo safari; ama za nje ama za ndani zina faida gani kwa Taifa, mtu anatuletea hesabu za nafuu!
Huu ni msiba mkubwa!!![emoji36]