Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

Does FIFA operate that way? Let us wait and see
 
The Rise and Fall of Malinzi Jamal. Kuna mdau mmoja alinitukana humu kisa Malinzi nilipomuambia huyo ni fisadi namtafuta kwa udi na uvumba.
Jamaa mmoja hivi anaitwa [HASHTAG]#Frank[/HASHTAG] wanjiru hata Mimi alinitusi!
Jamaa alikuwa anamtetea malinzi kinoma!sijui alikuwa malinzi mwenyewe!
 
Hapo ndio patakuwa pagum,yatatokea kama yaliyotokea ya Ndolanga na usishangae tukafyata mkia
Exactly, FIFA does not operate that way. Waliwahi kumfanyia figisu ikaenda FIFA wakatupilia mbali upuuzi akashinda!
Hizi ni figisu za wazi na siyo mara ya kwanza kumuita huko, several times. Hili limekuwa la nguvu kwa ajili ya uchaguzi.
 
Safi sana,malinzi alikuwepo Tff kwa maslahi yke binafsi...tumbo kubwa kubwa kama pipa tu kwanza

Ova
 
Ilibidi akutukane, una ushahidi gani kuwa ni fisadi? Mbona kuitwa PCCB ni kawaida kwa watu wenye majukumu, wana maadui wengi kiasi lazima wapeleke umbea pccb. Sioni ajabu.
Hahahaahaha nendeni sasa mkamuekee dhamana cheza na serikal awamu ya 5...shubaaamiit
 
Hivi kumbe huko TFF kuna hela mpaka kufikia kutoa rushwa maanake mimi naonaga hamna hata kitu huko!!!
Mkuu kuna hela ya kufa mtu kwa maisha yetu ya Kitanzania si haba...kama kuna kipindi TFF walitoka Karume na kwenda kupanga ofisi kwa milioni 400 ni kielelezo tosha kuna hela kwa maisha yetu ya kibongo hivyo mtu akiingia kwa misingi ya rushwa kuna uwezekano wa kutafuta vijisenti vya kuendeshea maisha though wengine ni shortcut ya kufikia mataajio yao ya kisiasa kwa siku za usoni ndo maana watu hujifanya watu wa soka alafu jina likivuma unaona anahamia kwenye siasa
 
Good.Hongereni vijana keep it up.Hawa ndio wanaokichafua chama na serikali.Deal with them harshly if proved guilty.Tumechoka kuwa mocked mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…