Rais wa Ukraine awaambia NATO: 'Hii yaweza kuwa mara yenu ya mwisho kuniona nikiwa hai!'

Mtu yeyote hawezi kwenda kujenga jirani na adui yake.
 
Dah ila jamani yaani hata huzuni hamsikii kwa jinsi rais Zelensky anavyoongea kwa huzuni?

Jaalia wewe mshikaji wako kakupigia simu tena ni video call halafu akueleza huenda hii ndio mara yako ya mwisho kumuona akiwa hai.
 
Jamaa anafanya proganda kwa kiasi flani, kwani Ukraine ndiyo nchi pekee jirani na Rusia ambaye akitaka kujiunga na NATO?

RUSIA amekosea sana kumvamia Ukraine kwa ukweli, wakija kufanya analysisi wanaitangazia dunia kua walikosea sana.
 
He is just greedy for power….Baada ya hapa atawatafuta wengine anaopakana nao wanyonge arudishe tena U.S.S.R .Kwaio China naye Aivamie Taiwan akitoa sababu kwamba Marekani atajiattach .Au Marekani naye amvamie Mexico kwasababu kama za putin?
 
Wazungu sio watu wa kuwategemea aisee, wanaweza kukulaza mlango wazi hivi hivi
Ni kwamba hao urusi na USA wakipigana ile face to face itakuwa balaa la dunia

Ukitaka kujua kati ya hao wawili wanaogopana mmoja akiwa na maslahi ya sehemu akianza kuonea nchi fulani mwingine hatii mguu kila mtu ana muda wake
 
Ni kwamba hao urusi na USA wakipigana ile face to face itakuwa balaa la dunia

Ukitaka kujua kati ya hao wawili wanaogopana mmoja akiwa na maslahi ya sehemu akianza kuonea nchi fulani mwingine hatii mguu kila mtu ana muda wake
Umeongopa , Russia ameshati mguu Mara nyingi tu katika nchi ambazo USA huwa anataka kuzipiga , refer Syria na Venezuela
 
Ni kwamba hao urusi na USA wakipigana ile face to face itakuwa balaa la dunia

Ukitaka kujua kati ya hao wawili wanaogopana mmoja akiwa na maslahi ya sehemu akianza kuonea nchi fulani mwingine hatii mguu kila mtu ana muda wake
USA mnafiki tu mbona Russia kaingia Syria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…