Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Maskini anapomshauri tajiri jinsi ya kupata pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiangalia hilo jicho la Putin simmalizi!😂😂😂'haka ka dada kamefikaje huku?'- putin
Hamiini machi yake, anashauriwa na mtu aliyemfuza Mbunge wake badala ya kumshauri/kumsikiliza...View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Umempiga na kitu kizito huyo spika mjinga huyo!Anamuona kama mbwa tu!
Full stop!!
Weee unadhani wako Russia? Wamekutana Marekani katika kikao cha UNUjio wake Russia hata haujapewa airtime na media za Russia
Wamemwona kama takataka
Chadema bhana 😂Ujio wake Russia hata haujapewa airtime na media za Russia
Wamemwona kama takataka
Weee unadhani wako Russia? Wamekutana Marekani katika kikao cha UN
Endelea kujidanganya. Race zote ni wabaguzi wa rangi kasoro sisi waafrika tu ambao tumepumbazwa na hizi imani za kuletewa.Fikra zako ni za kiutumwa sana. Out of all countries, Russia is the most friendliest European country to Africans.
Sio Kila mwenye ngozi nyeupe has the Imperialist mindset.
Chadema bhana 😂
Mna visirani sana nyie 😂Wamefanyaje mkuu?
Mna visirani sana nyie 😂
Weee unadhani wako Russia? Wamekutana Marekani katika kikao cha UN
Mbwa jike wa mitaani sio mkuu?Anamuona kama mbwa tu!
Full stop!!