Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Labda kama Kuna Nchi inaitwa Tukuyu au monjelwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin kwa sasa hata mende akimtembelea kama hayuko against itatangazwa na atakaa karibu kweli kweli maana isolation sio kitu cha mchezo.Alizani kiahidi chakula ndio ameshaikamata Africa lakini Waafrica tunataka kote Magharibi ma Mashariki wote wetuView attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Uzuri huyo ukimkatalia haanzi chokochoko kwenye nchi yakoPutin kwa sasa hata mende akimtembelea kama hayuko against itatangazwa na atakaa karibu kweli kweli maana isolation sio kitu cha mchezo.Alizani kiahidi chakula ndio ameshaikamata Africa lakini Waafrica tunataka kote Magharibi ma Mashariki wote wetu
Ametumia namna Russian wanavyoongea ikiwa watatumia English . Wewe huelewi nini..... she is, to talk to me?
Kuna shida gani hapo? Mxiuuuuh! Mwehu wewe!
NdioHivi Russia iko Europe 🤔
Putin huwa anapenda kuongea kirusi, sijajua kama kiingereza anakijua ama laShe is to talk to me , what English 🔥 USSR
Vladimir Putin can speak English, but while his ability to speak the language is reported to be good, he is not fluent and rarely uses it publicly.She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Ur Stupidity....View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Hakuna watu wabaguzi duniani kama waafrika na wahindi japo sio wote
Katika watu ambao kwa asilimia kubwa sio wabaguzi na wala hawana sifa ya kumfananisha binadamu na mnyama/Nyani basi ni waarabu
Tatizo ni laana ya kizazi! Uwe na uhakiki with or without war! Hao watoto wakikua watakuwa magaidi and ant_Israel! What a difference? Mnatumia watoto kuvuta sympathy za International community sio? Hamas waache ugaidi na kila kitu kitakuwa shwari Makari hodariWengi wenu mnaoongea upumbavu dhidi ya mheshimiwa Tulia... HAMJIELEWI! WASHENZI! WAPUMBAVU! NA WATU MSIO NA UTU!
Mmewahi kuona video za watoto na wakina mama wanavyopata shida kule Palestine?! Wale watoto mmewaona wanavyohangaika?! Mtoto ana miaka mitatu kawa yatima bila kujijua, hana pa kula wala kulala, ukiona sura zao kama una utu unaweza kulia... Jioni hii katika pitapita zangu mtandaoni Instagram nimeona video wanakula majani, walirekodiwa kwa mbali hata hawaoni maskeen... Watoto wa miaka takribani minne na wachafu wamejawa na makovu na michubuko.
IMAGINE!
BricksKabisa! Mtu kama Putin umweke kwenye mizania na Tulia Akson wataongea nini? Mimi nadhani labda Putin anataka kura ya nchi lofa za kiafrika hapo UN. Si unajua wamekutana Marekani kwenye mkutano wa UN!