Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

Rais wa Urusi Vladmin Putin anavyomwangalia Tulia Akson unadhani anafikiria nini?

View attachment 3040646She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Putin kwa sasa hata mende akimtembelea kama hayuko against itatangazwa na atakaa karibu kweli kweli maana isolation sio kitu cha mchezo.Alizani kiahidi chakula ndio ameshaikamata Africa lakini Waafrica tunataka kote Magharibi ma Mashariki wote wetu
 
Putin kwa sasa hata mende akimtembelea kama hayuko against itatangazwa na atakaa karibu kweli kweli maana isolation sio kitu cha mchezo.Alizani kiahidi chakula ndio ameshaikamata Africa lakini Waafrica tunataka kote Magharibi ma Mashariki wote wetu
Uzuri huyo ukimkatalia haanzi chokochoko kwenye nchi yako
 
Anaona tu mataka zikifumbua na kufumba na kutema kinyesi useless chenye harufu kali.
 
She is a woman!
She is black!
She comes from poorest country!
She is from Africa!
What does she think she is, to talk to me?
Does she know any thing about war?
......................
Ongezea na wewe ....
Vladimir Putin can speak English, but while his ability to speak the language is reported to be good, he is not fluent and rarely uses it publicly.

The Kremlin’s spokesperson, Dmitry Peskov, said in 2021: “He practically understands English completely and sometimes even corrects the translators.”

Back to the Topic in cold war swali la kujiuliza ni moja tu huyu naweza kumtumia vipi kwa manufaa yangu.., either win / win au win for me and who cares if they win...... Hakuna muda wa kupoteza kuwaza kuhusu hayo mengine (Africa is and has always been a Strong Pawn in these Chase games)

Tulia is just a Vehicle, a non entity - what she represents is what is very important and Putin needs all the extra supports just as do EU, NATO and USA collectively and individually
 
Wengi wenu mnaoongea upumbavu dhidi ya mheshimiwa Tulia... HAMJIELEWI! WASHENZI! WAPUMBAVU! NA WATU MSIO NA UTU!

Mmewahi kuona video za watoto na wakina mama wanavyopata shida kule Palestine?! Wale watoto mmewaona wanavyohangaika?! Mtoto ana miaka mitatu kawa yatima bila kujijua, hana pa kula wala kulala, ukiona sura zao kama una utu unaweza kulia... Jioni hii katika pitapita zangu mtandaoni Instagram nimeona video wanakula majani, walirekodiwa kwa mbali hata hawaoni maskeen... Watoto wa miaka takribani minne na wachafu wamejawa na makovu na michubuko.

IMAGINE!
Tatizo ni laana ya kizazi! Uwe na uhakiki with or without war! Hao watoto wakikua watakuwa magaidi and ant_Israel! What a difference? Mnatumia watoto kuvuta sympathy za International community sio? Hamas waache ugaidi na kila kitu kitakuwa shwari Makari hodari
 
Kabisa! Mtu kama Putin umweke kwenye mizania na Tulia Akson wataongea nini? Mimi nadhani labda Putin anataka kura ya nchi lofa za kiafrika hapo UN. Si unajua wamekutana Marekani kwenye mkutano wa UN!
Bricks
 
Toka enzi za Mwalimu Watanzania tunasifika sana kwa kusuruhisha migogoro ya Nchi zingine ila humu kwetu watu wakihangaika kwa vitu vingi vya msingi na hakuna kitu kinafanyika...
Nchi maji bado matatizo mpaka leo sijui huduma za Afya na matumizi ya kadi za Bima harafu tunahangaika na Putin sio kweli hapo alienda Ramaphosa alipewa Putin feki sijui kama atarudia tena...
 
Back
Top Bottom